MIFUGOKILIMO SUPPORT
Member
- Mar 18, 2015
- 51
- 0
Hello JF,
Ninatafuta Farm Manager kwa ajili ya usimamizi wa mradi wa shamba ulioko Tabora Kipalapala Matankini.
SIFA: Awe na Elimu ya Form Four na utaalamu ngazi ya cheti katika fani ya Kilimo na Mifugo na uzoefu wa angalao miaka miwili na kuendelea. Asiwe mlevi bali awe mwaminifu. Awe na familia yaani mke na watoto kwani atapatiwa makazi na ili aweze kuangalia shamba vizuri.
KAZI ATAKAZOFANYA:
Kuangalia shughuli zote za Kilimo na Mifugo (awe rafiki wa nguruwe pia kwa sababu ni sehemu ya mradi) kwenye mradi na kumshauri Mkurugenzi wa Mradi juu ya mikakati ya kuendeleza mradi, Atasimamia raslimali watu, atasimamia mali zote za mradi, atasimamia na kutoa taarifa ya majanga na magonjwa yatakayotegemewa kujitokeza. Maelekezo mengine atapewa akikubaliwa kuanza kazi.
PIGA SIMU 0764 601903 ufuate maelekezo
Ninatafuta Farm Manager kwa ajili ya usimamizi wa mradi wa shamba ulioko Tabora Kipalapala Matankini.
SIFA: Awe na Elimu ya Form Four na utaalamu ngazi ya cheti katika fani ya Kilimo na Mifugo na uzoefu wa angalao miaka miwili na kuendelea. Asiwe mlevi bali awe mwaminifu. Awe na familia yaani mke na watoto kwani atapatiwa makazi na ili aweze kuangalia shamba vizuri.
KAZI ATAKAZOFANYA:
Kuangalia shughuli zote za Kilimo na Mifugo (awe rafiki wa nguruwe pia kwa sababu ni sehemu ya mradi) kwenye mradi na kumshauri Mkurugenzi wa Mradi juu ya mikakati ya kuendeleza mradi, Atasimamia raslimali watu, atasimamia mali zote za mradi, atasimamia na kutoa taarifa ya majanga na magonjwa yatakayotegemewa kujitokeza. Maelekezo mengine atapewa akikubaliwa kuanza kazi.
PIGA SIMU 0764 601903 ufuate maelekezo