Duka la nguo za watoto linauzwa Dodoma

Duka la nguo za watoto linauzwa Dodoma

MV2K

New Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
3
Reaction score
0
Wandugu herini ya xmas na mwaka mpya. Kama mada inavyojieleza ninauza duka la nguo za watoto lenye thamani ya tsh 5.4m kwa tsh 3.5m. Duka lipo zunguni mtaa wa shabiby na ni duka pekee la watoto eneo hilo. Kwa mwenye uhitaji tafadhari ani-pm kwa mawasiliano. Nimeshindwa kuweka picha kwasababu ya aina ya cm ninayoitumia, asanteni.
 
Kwanini unauza duka? Biashara hailipi? Kwa siku huwa unauza sh ngapi minimum na maximum? Mauzo kwa mwezi ni sh ngapi? Kodi ni ya frem ni sh ngapi?

UKIJIBU HAYO MASWALI UNAPATA MTEJA SASAHIVI
 
Back
Top Bottom