Habari wadau nina shamba eka 100 Nyanzwa likiwa limepakana kabisa na mto Ruaha. Ninakodisha eka 60 ambazo tayari nilishalima miaka miwili iliyopita. Nakodisha kila eka laki mbili na nusu 250,000...
Ikiwa yamebaki masaa machache sana Hebu kila mtu aweke mpango kazi wake wa Mwakani hapa! ili wale ambao hawajandaa wajifunze toka kwenu.
Iwe ni Mwajiriwa au yeyote yule ni lazma tuwe na vitega...
Wakuu habari za leo ?
Naomba mwenye kujua faida au hasara za maxmalipo anijuze,
Nahitaji kuanzisha biashara ya M- Pesa, Airtel Money, tigo pesa na luku
Je nikitumia maxmalipo naweza pata faida...
Habari #TeamJamiiforums. Nilikua naomba msaada nijue jinsi ya kuwa wakala wa MAXMALIPO. Nataka nijue sifa,vigezo na mashariti ya kuweza kufanya hiyo huduma katika jamii yangu. Pia nijue na kiasi...
Wanabodi
Ningependa kujuzwa ni taratibu zipi zinapaswa kupitiwa ili wanakikundi wawezi kukisajili Kikundi chao na kiweze kutambulika kisheria.
Nipo na wakulima wenzangu kama wa 5 hivi.
Asante.
Wana JF,
Baada ya kukamilisha Usajili wa Kampuni yangu (Advertising Agency) na vitu vingine muhimu k.v. Memorandum, Business Plan, Marketing Proposal, Portfolio, Stationeries & Branding...
Habari wadau!
Duka linauzwa liko Mwanza, wilaya ya Ilemela-Buswelu, mtaa wa Buhilya. Ni duka la kawaida la bidhaa za rejareja, liko site nzuri kiasi kwani wastani wa mauzo kwa siku ni laki 2 hadi...
Habari za jioni wana JF, nimeona nishee nanyi mawazo haya ambayo wengi wetu hatuyapi mkazo na badae tunakwama na kuhaha.
Kama wataka kufanikiwa katika uwekezaji wako na biashara hebu pitia haya...
Heshima mbele!
Kichwa cha habari kinajieleza. Mimi ni mjasiriamali wa kuzaliwa yaani ipo kwenye damu. Kwa sasa kuna mradi naifanyia kazi natafuta mtu mwenye uwezo wa kutengeneza website, graphic...
Habari zenu wote,
Nimetumiwa hii link na rafiki yangu,kwamba kila atakayeclick hapo chini ,mimi nitapata 5%,na huyo mtu akiamua kujiregister na yeye akishare hiyo link nayeye atapata 5%.
Naomba...
Nataka kufuga kuku wa kisasa wa nyama wakati huo nafuga kuku wa kienyeji, je inawezekana?, hakuna magonjwa ya kuambukizana, wazoefu na wataalam naomba mwongozo
Wadau,
Nafikiria kuanzisha mradi wa kushona viatu, mikanda pamoja na wallet. Je ni mashine zipi za kuanzia ninazotakiwa kuanza nazo na gharama yake ni kiasi gani? ni aina gani ya Mashine inafaa...
Habari!,
Nina Kiwanja kimejengwa msingi Kipo Iringa Mjini-ISAKALILO hakina hati(nlijaribu Kufuatilia Hati Wanazungusha Sana Pia Wanahitaji Fedha Mi Sina Kitu Nkashindwa) naomba kwa yeyote au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.