Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wadau nina shamba eka 100 Nyanzwa likiwa limepakana kabisa na mto Ruaha. Ninakodisha eka 60 ambazo tayari nilishalima miaka miwili iliyopita. Nakodisha kila eka laki mbili na nusu 250,000...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ikiwa yamebaki masaa machache sana Hebu kila mtu aweke mpango kazi wake wa Mwakani hapa! ili wale ambao hawajandaa wajifunze toka kwenu. Iwe ni Mwajiriwa au yeyote yule ni lazma tuwe na vitega...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya vifaranga, na mayai ya kuku chotara tuwasiliane hapa... 0682169798.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari za leo ? Naomba mwenye kujua faida au hasara za maxmalipo anijuze, Nahitaji kuanzisha biashara ya M- Pesa, Airtel Money, tigo pesa na luku Je nikitumia maxmalipo naweza pata faida...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari #TeamJamiiforums. Nilikua naomba msaada nijue jinsi ya kuwa wakala wa MAXMALIPO. Nataka nijue sifa,vigezo na mashariti ya kuweza kufanya hiyo huduma katika jamii yangu. Pia nijue na kiasi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanabodi Ningependa kujuzwa ni taratibu zipi zinapaswa kupitiwa ili wanakikundi wawezi kukisajili Kikundi chao na kiweze kutambulika kisheria. Nipo na wakulima wenzangu kama wa 5 hivi. Asante.
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wana JF, Baada ya kukamilisha Usajili wa Kampuni yangu (Advertising Agency) na vitu vingine muhimu k.v. Memorandum, Business Plan, Marketing Proposal, Portfolio, Stationeries & Branding...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau! Duka linauzwa liko Mwanza, wilaya ya Ilemela-Buswelu, mtaa wa Buhilya. Ni duka la kawaida la bidhaa za rejareja, liko site nzuri kiasi kwani wastani wa mauzo kwa siku ni laki 2 hadi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni wa mayai wameshamaliza miezi 6 na bado hawajaanza kutaga...wanamaliza chakula tu.Nini kifanyike waanze kutaga!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za jioni wana JF, nimeona nishee nanyi mawazo haya ambayo wengi wetu hatuyapi mkazo na badae tunakwama na kuhaha. Kama wataka kufanikiwa katika uwekezaji wako na biashara hebu pitia haya...
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Heshima mbele! Kichwa cha habari kinajieleza. Mimi ni mjasiriamali wa kuzaliwa yaani ipo kwenye damu. Kwa sasa kuna mradi naifanyia kazi natafuta mtu mwenye uwezo wa kutengeneza website, graphic...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
wapo dar es salaam wapo 70 kwa mteja anae hitaji ani PM bei rahisi .
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari zenu wote, Nimetumiwa hii link na rafiki yangu,kwamba kila atakayeclick hapo chini ,mimi nitapata 5%,na huyo mtu akiamua kujiregister na yeye akishare hiyo link nayeye atapata 5%. Naomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nataka kufuga kuku wa kisasa wa nyama wakati huo nafuga kuku wa kienyeji, je inawezekana?, hakuna magonjwa ya kuambukizana, wazoefu na wataalam naomba mwongozo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, Nafikiria kuanzisha mradi wa kushona viatu, mikanda pamoja na wallet. Je ni mashine zipi za kuanzia ninazotakiwa kuanza nazo na gharama yake ni kiasi gani? ni aina gani ya Mashine inafaa...
2 Reactions
50 Replies
18K Views
Kama ulitaka kufanya biashara ya chips ukashindwa ... unataka kuuza ulivyo nunua nichek hasa kabati ndio nahtaji...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Popote ulipo tutakufikia na iweke nyumba yako katika muonekano tofauti
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari!, Nina Kiwanja kimejengwa msingi Kipo Iringa Mjini-ISAKALILO hakina hati(nlijaribu Kufuatilia Hati Wanazungusha Sana Pia Wanahitaji Fedha Mi Sina Kitu Nkashindwa) naomba kwa yeyote au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa ndugu zangu wahitaj wa hivo vitu mawasiliano yangu in +255718930097
0 Reactions
2 Replies
973 Views
nahitaji dagaa waifugo
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom