Mitumba

Mikunga

Member
Dec 20, 2015
6
0
Jabari wana JF
Niko USA nataka kujua belo la mtumba wa viatu au jeans bei gani ?
na je hii biashara inalipa ?
 
Upo Marekani au Usariver Arusha. OK bei zinatofautiana kulingana na grade ya nguo na viatu
 
Kwa dar nguo mitumba inauzwa kuanzia laki na sabini mpaka laki NNE,
 
Jabari wana JF
Niko USA nataka kujua belo la mtumba wa viatu au jeans bei gani ?
na je hii biashara inalipa ?
Inategemea kuanzia 550.000 mpaka 800.000 pia inategemea wapi zimetoka Na ubora. Kwa watoto nguo zao mchanganyiko kuanzia 700.000 mpaka 850.000.ila Kwa viatu sina hakika .hizo bei Kwa maduka ya Ilala
 
Happy new year pale Ilala sokoni utapata .mimi uwa Na chukua sana ila siuuzi Dar napekeka mkoani kila week nakuja kuchukua .biashara ni nzuri tu pale utakapofanya mwenyewe.siyo kuagiza mtu .
 
Happy new year pale Ilala sokoni utapata .mimi uwa Na chukua sana ila siuuzi Dar napekeka mkoani kila week nakuja kuchukua .biashara ni nzuri tu pale utakapofanya mwenyewe.siyo kuagiza mtu .
Huwa unachukua kwa Barlow au moja moja?
 
Moja moja kwa mkoani hailipi hiyo inalipa Dar .kwa kuwa mambo ya hali ya hewa nayo ni change motor moja wapo .Dar zinaisha sana cotton lakini iringa ama mbeya huwezi uza nguo za aina hiyo
 
Back
Top Bottom