Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wana bodi nianze kwa kutoa pongezi kwa michango mbalimbali ambayo mmekuwa mkiiweka hapa jukwaani. Baada ya kupitia hili jukwaa la kilimo na ufugaji kwa kipindi kirefu nami nilishawishika kujaribu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wandungu mwaka jana nilipewa shamba kama zawadi ila sasa kiukweli lina mgadi kiasi kwamba sijui zao la kupanda katika shamba hilooo . kwa mtu mtaalamu naomba ushauri kwa hillo plz. nipande...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani naomba utaalamu wenu juu ya upandaji Shamba LA miti ya mbao. Inapandwa kwa interval gani mti hadi mti na mstari hadi mstari. Naombeni sana
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wandugu? Katika harakati za kujikomboa kiuchumi kupitia ufugaji kisasa nilipata Wazo zuri na kubwa kwangu katika ufugaji wa nguruwe, nlipita kwenye mabenki na taasisi za serikali na...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ukija kwenye swala la kujiajiri kwa wasomi, walio somea Sheria huenda wakawa wanaongoza, Hawa jamaa can u image kwenye masomo yao yote hawakugusa sijui Kitu inaitwa Entreprenership ila wakimaliza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mambo aje wakuu Naomba kufaham kama kuna madhara kuosha mayai ya kuku na badae umuwekee alalie. Kuna mayai nimeletewa toka shamba bahat mbaya yalikua machafu..na pia niliweka kwenye maji kubaini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
OPPORTUNITY ON FISH FARMING WORKSHOP Read more here RDN Member Registration / Login Thanks.
0 Reactions
0 Replies
951 Views
0 Reactions
1 Replies
962 Views
Commitment iliyoonyeshwa na members waliosafiri kutoka Mikoani, hasa Arusha, Same, Dodoma ni ya kipekee, ambayo kwangu naifananisha na commintment ya Thomas Edson, mvumbuzi wa Balbu. Kwa siku ya...
16 Reactions
73 Replies
9K Views
Mbegu za pilipili, pilipili hoho ,nyanya, majani ya maboga , zinauzwa wapi ? Siyo nyingi, zinazouzwa kidogo.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu? natumai nyote muwazima. Kama kichwa kinavyojieleza, kuna kampuni nimebahatika kufanya mawasiliano nayo ina uhitaji mkubwa wa mayai. Zinahitajika tray 2000 kwa siku...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wajumbe,Naomba kujuzwa zao gan naweza panda December wakati wa mavuno soko litakuwa poa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kichwa cha habari, naendelea kufanya Utafiti kuhusu mahindi madogo ya njao yanayotumika kutengenezea Popcorn. kwa kiasi kikubwa mahindi haya yanatoka nje ya Nchi kwa sasa . mwenye kujua je mahindi...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Wakuu nina shida ya Vifaranga, au bata mzinga pia ndege wengine wafugwao majumbani lakini si Kuku,Kanga na bata wa kawaida. Wapi naweza kuwapata na bei zao zikoje?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mhe Waziri wa kilimo na uvuvi, nakusalimu kutoka morogoro, ifakara, kijiji kinaitwa KIBEREGE, mimi ni mtoa huduma za kukusanya madeni kwa vyama vya ushirika, chini ya Tume ya ushirikanchini mwaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kufamu kama lipo soko la maroba chakavu yaliotumika kuhifadhi mahindi Naomba kufamu kama lipo soko la maroba
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Watanzania wenzangu mimi ni kijana mwenye malengo makubwa maishani,umri wangu ni around 20's.Nimehangaika sana kupata mtaji hatimaye nimefanikiwa,nimepata kiasi cha shilingi laki 7. Nataka niingie...
0 Reactions
10 Replies
18K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta mbegu ya sungura kwaajili ya kufuga mimi binafsi. Naomba kufahamu na bei ikoje???
1 Reactions
32 Replies
12K Views
Jipatie kipato kwa kutengeneza au kuomba space mahali mfano kkoo au hata njee ya duka la mshikaji wako weka ki friji chako uza juice, smoothies na salad kuliko kukka bure add value mazao ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom