Salaam Wakuu,
Mimi ni kijana muhitimu wa Chuo kikuu. Katika mapambano ya kusaka mkate wa kila siku nimeona ni vema nikajikita katika kujiajiri. Naaam kujiajiri katika sekta ya Kilimo na ufugaji...
Limenijia wazo kichani mwangu, washkaji munaonaje tukaanzisha kitu kama tour au ziara fulani hivi kwa ajili ya kujionea watu walivyofanikiwa katika kilimo, ufugaji na pia kupata fursa ya sisi...
Habari za humu mu wazima?
Kumekuwa na vizuizi vingi sana kwa wakulima wa kiafrika kusafirisha mazao yao nje ya Afrika kwa kigezo cha mazao yenye madawa
Hali hii imesababisha mazao mengi kama...
Habari Wana JF
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatangazia wataalamu wa kutengeneza Website ya Kampuni. Ni kampuni itakayohusika na mauzo ambayo wateja wataweza kulipa kwa kutumia Mobile Money...
Habari ndugu zangu. Naitwa Mwl Madnja RF nipo Sengerema. Natafuta kuku aina ya kuchi, wale wasio na manyoya mengi, wenye mdomo mfupi sana. Pia soko lake likoje? Mwenye nao tuwasiliane kwa Whatssap...
Wadau, nina mtaji wa milioni 20, eneo la ekari 1 Kibaha. Nataka nianzishe ufugaji wa kuku wa mayai. Tayari nimejenga nyumba ndogo ya kuishi mfanyakazi. Bado naendelea na ujenzi wa mabanda ya kuku...
Habar wanajamvi mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji wa kawaida sasa nataka kubadilisha mfumo wa ufugaji kutoka kuku wa kienyeji kwenda chotara aina ya kuroiler sasa nataka kununua vifaranga je...
habari za leo wapendwa. natumain hamjambo na Mwenyezi katubariki kabisa.
natamani niingie katika biashara ya hawa viumbe. ila nataka nijue ni wapi ambao hawashambuliwi na magonjwa ovyo, hapa naona...
Members salama.Nina project ya ufugaji kuku ambayo nimeanza miezi miwili iliyopita baada ya darasa zito kutika hapa.Project inakwenda vizuri na ninefanikiwa kutotoresha vifarangq kwa awamu ya...
Unapofikiria kufanya ufugaji wa kuku lazima wazo lako likupeleke kwenye kufanya ufugaji wa kuku wa kibiashara ufugaji ambao unakuwa kama kazi. Kwa wanafunzi wanaohitimu vyuo vikuu hawana haja ya...
Ndugu wapendwa naomba kupata ushauri wa namna ya kupata masoko ya kuuza nyanya hasa katika kipindi ambacho kwa sasa nyanya zimefurika sokoni.Natarajia kuanza kuuza wiki moja ijayo. Je utaratibu...
wakuu
napenda kufanya ulanguzi wa asali mikoa ya tabora pamoja na singida
ila changamoto ya hii mikoa hua inaathiriwa sana na maua yanayotokana na tumbaku ambayo hua na sumu ya nikotin ambayo...
Tafadhali naomba msaada kwa yeyote aliyeko Dar, mashine yangu ya kutotolesha vifaranga (incubator ) niliagiza mwezi 5 ilifika dar mwezi 7! Je ni kweli bandari wanaweza kuiuza kwa kutoikomboa...
Naomba kujua sababu inayofanya majani ya tikiti niliyopanda yananyauka na kukauka wakati ninamwagilia maji ya kutosha. Nilijaribu kuangalia mizizi yake nikaikuta mizima na yenye maji
Naomba pia...
habari zenu wakubwa. naomba kufahamu kutoka kwa wataalam wa kilimo na udongo kuhusu issue ya soil sterilization. kwenye vipengele vifuatavyo
.maanake yake
.ina faida gani kwa mkulima kiujumla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.