Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,422
- 1,254
Ndugu zangu napenda kuwataarifu kuwa mvua zimeanza ,karibia kila kona ya tanzania,nyanda za kusini,kanda ya ziwa, pwani,kanda ya kati, kazikazini na kwingineko.
kazi kwenu. mi tayari niko kwa shamba
kazi kwenu. mi tayari niko kwa shamba