Naombeni ushauri kuhusu kilimo cha tikiti msimu huu.

SIPIYU30

JF-Expert Member
Feb 26, 2012
1,630
2,028
Wadau, nimetafakari jambo hili. Watu wengi wanasema msimu wa kupanda tikiti maji ni kati ya March and september. Lakini msimu huu nikiangalia kupanda mahindi ni kama kucheza karata. mpaka sasa mvua hazieleweki, hata watu wengi mpaka sasa hawajapanda mahindi. Sasa nimeangalia hapa shambani kwangu nimechimba kisima kwa mkono na maji ya kumwagilia yapo. Sasa nikiangalia kumwagilia mahindi ni biashara kichaa, nawaza nikiamua kulima tikiti, au vitunguu au nyanya, mvua zikiwa haba namwagilia, je naweza kutoka?

Naombeni ushauri
 
Wadau, nimetafakari jambo hili. Watu wengi wanasema msimu wa kupanda tikiti maji ni kati ya March and september. Lakini msimu huu nikiangalia kupanda mahindi ni kama kucheza karata. mpaka sasa mvua hazieleweki, hata watu wengi mpaka sasa hawajapanda mahindi. Sasa nimeangalia hapa shambani kwangu nimechimba kisima kwa mkono na maji ya kumwagilia yapo. Sasa nikiangalia kumwagilia mahindi ni biashara kichaa, nawaza nikiamua kulima tikiti, au vitunguu au nyanya, mvua zikiwa haba namwagilia, je naweza kutoka?

Naombeni ushauri

Vigumu sana kukushauri chochote kwa namna ulivyoandika.Eleza uko wapi maana Tanga,Mbeya au Dar kwa swali hilo hilo majibu yake ni tofauti sana.Ushauri wa jumla hakikisha inapofikia kuvuna kusiwe mvua nyingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom