Msaada kwenye incubator

mzee jongo

Member
Sep 29, 2016
20
1
wakuu nna automatic incubator lakini cjapata kifaranga hata kimoja cha bata mara mbili mfululizo lakini mayai ya kuku yanatoka vizuri tu naombeni msaada wakuu
 
Cna hakika,ila inawezekana katka joto na siku za kutotoleshwa vinatofautiana kati ya mayai ya kuku na mayai ya bata.
 
Mkuu naomba kuuliza,ni incubator ipi (brand name) kama hizi local au za nje ambazo zinafanya vizuri? Pia na bei kama unafahamu itakua poa. Asante
 
Cna hakika,ila inawezekana katka joto na siku za kutotoleshwa vinatofautiana kati ya mayai ya kuku na mayai ya bata.
nimejaribu kupitia majarida mbalimbali nmekuta conditions za kuku na bata zinaendana isipokua bata ni siku 28 ambazo ni joto nyuzi 37.8 na unyevu ni RH 60% lakini bata kwangu ni hola
 
Mkuu naomba kuuliza,ni incubator ipi (brand name) kama hizi local au za nje ambazo zinafanya vizuri? Pia na bei kama unafahamu itakua poa. Asante
ni automatic incubator XM 18D direct from china Tsh 2 millions ya mayai 500 ya kuku inatoa kwa 96% ila ya bata mara mbili nimekosa
 
Nina kaka yangu yupo Kibaha Maili moja anatengeneza hizi Incubator hapo hapo Kibaha! Pia yeye Ni Agent wa hizo machine Kama ukiitaji Za kutoka china Au Ujerumani . Ni Makini na Muaminifu sana hana longolongo kwenye kazi zake . Number zake hizi 0754 569 381 jina Abdallah . Piga mwambie nimeelekezwa na mdogo wako utapokelewa na kuhudumiwa vizuri pia anazo mashine ambazo zipo tayari sokoni na hata ukitaka kupeleka mayai ili utotoshelewe tu na kuondoka na vifaranga vyako vikiwa na afya bora Kwa mashine zake binafsi pia hilo linawezekana. Karibu sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom