Soko la vitunguu lapanda mara dufu

Soko la vitunguu lapanda mara dufu

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,303
Bei ya vitunguu soko la ilala imepanda kutoka shilingi 60,000 miezi miwili iliyopita hadi 105,000 kwa gunia la kilo 100 kipindi hiki kutokana na kuadimika kwa vitunguu msimu huu
 
Yaaan dahhh kwa hyo muda mzuri wa kulima vitunguu ni kuanzia mwez wa9 hv ili kutegea wakat kama huu ww ndio uwe unavuna ukiingza mzgo sokon unapga pesa ndeeeefu
 
Bei ya vitunguu soko la ilala imepanda kutoka shilingi 60,000 miezi miwili iliyopita hadi 105,000 kipindi hiki kutokana na kuadimika kwa vitunguu msimu huu

Huku vimejaa kibao, kama unataka ni-pm. Bei karibu na bure.
 
Bei ya vitunguu soko la ilala imepanda kutoka shilingi 60,000 miezi miwili iliyopita hadi 105,000 kipindi hiki kutokana na kuadimika kwa vitunguu msimu huu
hyo bei ya kipimo gani?..mbona unatoa taarifa kama mwanangu getrude anaesoma la pili
 
ok mkuu unavo vya aina gani mzee na gunia kiasi gani?
Kwema, kama unahitaji vitunguu nicheki tufanye biashara. Ninavyo nimehofadhi gunia kama mia mbili ivi. Vipo Kisaki Morogoro.
 
Sasa ulizia vitunguu swaumu kilo sh ngapi utakimbia
 
Back
Top Bottom