Kwa wale walio na mtaji mdogo na wanajiuliza watauzungushaje mimi ni Mjasiriamali ambae nauza viatu vya kimasai jumla kuanzia pea 10 kwa shilingi elfu 13 na rejareja vinauzwa kuanzia elfu 17 mpaka 20 kiasi kwamba kwa viatu 10 ulivyochukua unapata faida ya chini sana shilingi elfu 40.
Viatu vinatoka sana hasa maeneo ya vyuo na collage mbalimbali pamoja hata na majumbani wamama na wadada wengi huwa wanavinunua sana viatu vipo katika hali nzuri na ni vya kisasa.
Watanzania tunaweza kuuepuka umasikini kwa kutumia fursa kama hizi..
Viatu vinatoka sana hasa maeneo ya vyuo na collage mbalimbali pamoja hata na majumbani wamama na wadada wengi huwa wanavinunua sana viatu vipo katika hali nzuri na ni vya kisasa.
Watanzania tunaweza kuuepuka umasikini kwa kutumia fursa kama hizi..