kilimo cha umwagiliaji dar

kilimo cha umwagiliaji dar

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
953
Reaction score
669
wasalaam wakulima wenzangu...dar es salaam ni wapi kuna shughuli za kilimo cha umwagiliaji mtu anaweza kukodi shamba na kulima hapo?
 
wasalaam wakulima wenzangu...dar es salaam ni wapi kuna shughuli za kilimo cha umwagiliaji mtu anaweza kukodi shamba na kulima hapo?
Dar hakuna sehemu kama hiyo. Katafute mkoa wa Pwani kama lengo lako ni angalau uendelee kuwa Dar
 
nimaeneo yapi mkoa wa pwani ambayo nikaribu na Dar hususani wilaya ya Ilala ambapo mtu anaweza kusimamia shamba lake la umwagiliaji kwa urahisi?wanajamviii!
 
Dar es salaam wanamwagilia mboga kwa kutumia maji machafu, mara nyingine maji ya chooni. yataka moyo kula mboga za majani dar
 
Back
Top Bottom