Fursa za Kilimo Arusha

Fursa za Kilimo Arusha

chief1

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2015
Posts
1,418
Reaction score
1,455
Wakuu habari
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye malengo lukuki kuhusu kilimo na ufugaji hapa nchini,
Nimeamua kujitosa kwenye kilimo na ufugaji hapa Arusha!
Ninachokitafuta kutoka kwenu ni kupata connection za wadau mbalimbali wa kilimo hapa arusha, hii inajumuisha mashirika, makampuni, watu binafsi na serikali, kwa ujumla wake

Kwa kuanzia nataka kupata eneo la kukodi au greenhouse ya kukodi
Nataka kuanza na hoho pamoja na nyanya
Pia napenda kujua kuhusu masoko hapa arusha
Naamini nitapata msaada mkubwa kutoka kwenu
 
Pambana ndugu,hii ndo akili,kuliko wale wanaolalamikia serekali kila siku
 
Back
Top Bottom