Jumaa gosso
Senior Member
- Sep 4, 2016
- 188
- 127
Nahitaji kuanzisha kiwanda kidogo chakutengeneza chakula cha kuku bleed za kienyeji kuku chotala,malawi,nk………
ninamtaji wa milion 7
nilazima nijisajili (TBS) NIWE NA (KAMPUNY)?
Je viloba vyakuekea chakula vya kg 50 nilazima nivichapishe logo
nahitaji mawazo yenu nifanikishe project yangu
ninamtaji wa milion 7
nilazima nijisajili (TBS) NIWE NA (KAMPUNY)?
Je viloba vyakuekea chakula vya kg 50 nilazima nivichapishe logo
nahitaji mawazo yenu nifanikishe project yangu