Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

Van Halen

Senior Member
Dec 4, 2013
111
188
Habari zenu, wana JF ...

Ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi humu ndani, ingawa nimekuwa mchangiaji mara chache kwenye nyuzi za wengine, hususan kwenye jukwaa la MMU.

Kuna rafiki yangu mmoja aliwahi kunigusia kuhusu kilimo cha mkonge na faida zake kwa uchache. Nimejaribu kuangaza humu ndani, sijaona popote ilipoongelewa.

Tafadhali kwa yeyote anayefahamu kiundani kuhusu utaratibu mzima wa tangu kupanda mpaka kuvuna, na taarifa kuhusu masoko yake.
 
Bado hakuna aliyejitokeza ? Nimetaarifiwa kuwa mkonge siku hizi ni mali. Nasikia una soko kubwa sana china na kwa hiyo wananchi siku hizi wanasindika wenyewe na kuuza.
 
FAIDA ZA KILIMO CHA MKONGE
Mkonge hauitaji uangalizi wa juu kama mazao mengine , ni uwekezaji wa mda mrefu ambao unaingiza ghalama kubwa mwanzoni tu baada ya hapo unakuwa unatengeneza faida, soko lipo la uhakika na ambalo kwa sasa linazidi kupanda, faida yake ni kubwa kuanzia mwaka wa nne. Mkonge unavumilia sana ukame na magonjwa invyo kuwekeza na kupata hasara ni asilimia ndogo.

KWA YEYEYOTE MKULIMA AU MFANYABIASHA ANAYETAKA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MKONGE NA ANAITAJI KUPATA USHAURI FAIDI ZA KILIMO CHA MKONGE NA UZALISHAJI NA KAMA UNAWEKEZA TANGA TUNAWEZA KUKUSAIDIA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZOTE ZA SHAMBA.

TUWASILIANE KWA NO. 0717698998/0769323117
 
Tuelezee hapa hizo faida za kilimo cha mkonge
Bado hakuna aliyejitokeza ? Nimetaarifiwa kuwa mkonge siku hizi ni mali. Nasikia una soko kubwa sana china na kwa hiyo wananchi siku hizi wanasindika wenyewe na kuuza.
Bado hakuna aliyejitokeza ? Nimetaarifiwa kuwa mkonge siku hizi ni mali. Nasikia una soko kubwa sana china na kwa hiyo wananchi siku hizi wanasindika wenyewe na kuuza.
WANAJITOKEZA TUNAZIDI KUWAPA ELIMU JAPO MUITIKIO CYO MKUBWA
 
Tuelezee hapa hizo faida za kilimo cha mkonge

FAIDA ZA KILIMO CHA MKONGE

Mkonge hauitaji uangalizi wa juu kama mazao mengine , ni uwekezaji wa mda mrefu ambao unaingiza ghalama kubwa mwanzoni tu baada ya hapo unakuwa unatengeneza faida, soko lipo la uhakika na ambalo kwa sasa linazidi kupanda, faida yake ni kubwa kuanzia mwaka wa nne. Mkonge unavumilia sana ukame na magonjwa invyo kuwekeza na kupata hasara ni asilimia ndogo.
 
KWA YEYEYOTE MKULIMA AU MFANYABIASHA ANAYETAKA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MKONGE NA ANAITAJI KUPATA USHAURI FAIDI ZA KILIMO CHA MKONGE NA UZALISHAJI NA KAMA UNAWEKEZA TANGA TUNAWEZA KUKUSAIDIA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZOTE ZA SHAMBA TUWASILIANE KWA NO. 0717698998/0769323117
Mie wa Kwanza ntakucheki
 
KWA YEYEYOTE MKULIMA AU MFANYABIASHA ANAYETAKA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MKONGE NA ANAITAJI KUPATA USHAURI FAIDI ZA KILIMO CHA MKONGE NA UZALISHAJI NA KAMA UNAWEKEZA TANGA TUNAWEZA KUKUSAIDIA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZOTE ZA SHAMBA TUWASILIANE KWA NO. 0717698998/0769323117
Mie wa Kwanza ntakucheki
 
KWA YEYEYOTE MKULIMA AU MFANYABIASHA ANAYETAKA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MKONGE NA ANAITAJI KUPATA USHAURI FAIDI ZA KILIMO CHA MKONGE NA UZALISHAJI NA KAMA UNAWEKEZA TANGA TUNAWEZA KUKUSAIDIA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZOTE ZA SHAMBA TUWASILIANE KWA NO. 0717698998/0769323117
Mie wa Kwanza nitakucheki
 
nitafute kama kweli una nia yakuwekeza kwenye kilimo cha mkonge nitakusaidia kwani mi niko kwenye kituo cha utafiti wa mkonge tena idara ya mkonge ni check kwa no; 0717698998/0769323117
Kituo chako cha utafiti kiko mkoa gani? Mie wa Kwanza
 
Naskia wachina wanapiga sana pesa huko kilosa wanalima na Mo Dewji nae kayakamata mashamba kibao.
 
FAIDA ZA KILIMO CHA MKONGE

Mkonge hauitaji uangalizi wa juu kama mazao mengine , ni uwekezaji wa mda mrefu ambao unaingiza ghalama kubwa mwanzoni tu baada ya hapo unakuwa unatengeneza faida, soko lipo la uhakika na ambalo kwa sasa linazidi kupanda, faida yake ni kubwa kuanzia mwaka wa nne. Mkonge unavumilia sana ukame na magonjwa invyo kuwekeza na kupata hasara ni asilimia ndogo.
Kaka ungetumwagiaa hapa makadirio ya gharama zake na hutumia muda gani hadi kuanza kuingiza faida Ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom