Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Tuna tatizo kubwa sana la ajira, watu wamefunga, wengine wanakesha wakisali na kuomba makanisani na misikitini wapate ajira lakini bado tatizo lipo. Tanzania tumebarikiwa Ardhi, Halafu pia...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa anayetaka funza kwa ajili ya mifugo … tuwasiliane. Natengeneza funza kwa ajili ya kuku, bata, mbwa n.k Kwa wale wanaohitaji tuwasiliane. Walioko mbali nitawaelekeza waandae huko huko waliko...
8 Reactions
68 Replies
19K Views
Ndugu zangu wakulima umezuka ugonjwa mbaya unashambulia mimea ya mahindi kwa kasi sana, ugonjwa huu uta waathiri sana wakulima wa mahindi mkoa wa Rukwa iwapo haitadhibitiwa mapema.
1 Reactions
39 Replies
13K Views
Homa ya Matumbo (Fowl Typhoid) Ugonjwa huu husababishwa na Bakteria na huwapata kuku wa umri wote. NAMNA UNAVO ENEA huambukizwa kutoka kwa kuku wagonjwa kwenda kwa kuku wasio wagonjwa, kupitia...
1 Reactions
0 Replies
6K Views
Habarini za usiku wana janvi wenzangu ,nimekuwa mfuatiliaji wa vyakula vya mifugo kwa ujumla kwa undani,laikini nimekuwa nikishangazwa na hiki kitu kinaitwa concetrate ambayo uchanganywa na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari, kwa wajuzi wa Mambo ya KILIMO, Avocado inayopatikana Tanzania inaitwaje kitaalam? Nimeona kama South Africa wanazo aina 3 Hass, Fuerte, and Puebla... Tanzania tuna aina gani? Shukrani.
1 Reactions
15 Replies
4K Views
habari wana jamii natumai mu wazima wa afya,samahani naomba kufahamishwa ni jinsi gani naweza kupata mashine za kusaga kokote na bei zake,napatikana singida Nitafurahi mkinisaidia kwa hilo
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Habari zenu ndugu zangu, Naomba kwenye taarifa zozote kuwa wapi naweza kupata mkopo wa kilimo anisaidie,natafuta kukopa kiasi cha 3mil. Kwa lengo la kuimarisha Shamba la mpunga lililoanza tayari...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Tunao kama 200 tunatafuta soko. Tuko hapa Dar. Bei sh15,000. kwa anaetaka wote bei inapoa. Simu: 0712729015
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, nimeona nilete kwenu fursa hii ya ufugaji wa kuku wa nyama pamoja na mayai; Mimi nina mabanda makubwa mawili ambayo kila moja lina uwezo wa kubeba kuku layers (watagaji) 500...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nimesikia biashara ya pweza ni nzuri hasa kwa watu kama sisi ambao kimsingi bado tunawategemea wazazi inatosha sana kukusaidia kupta mtaji wa kuanzisha biashara nyingn kama upo vizuri...
0 Reactions
29 Replies
18K Views
wakuu naomba kuuliza bei ya Mahindi kwa sasa Gunia ipoje?
3 Reactions
135 Replies
33K Views
habari zenu wakuu nadhani tunaendelea vyema kuijenga nchi yetu nilikua naomba ushauri nmepata shamba la eka tano maeneo ya bagamoyo nlkua nataka nilime mahindi ila kwa kilimo cha kisasa kwa mdau...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari wana jamii, Kama kinavyosomeka kichwa cha habari mimi ni mdau ambae ni mgeni katika mambo ya kilimo ila nimeamua niweke nguvu zangu huko. Nimelima mpunga ekari 5 msimu huu na ninahitaji...
0 Reactions
10 Replies
24K Views
Kama huna mtaji wa biashara ya mazao ya vyakula soma hapo na kama unahitaji kununua mazao kwa gharama nafuu kutoka mikoa mbalimbali kwa kusafirishiwa bure soma hiyo pdf. Ahsante NB:nimecopy na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Samahanini wanajf nimepanda mbegu za mstafeli lakini mpaka sasa bado hazioti na hii ni kama wiki ya pili sasa. Sijujua nimekosea wapi naomba kwa anayejua anieleweshe
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ni mfugaji mdogo mdogo wa ndege aina ya kanga nimekuja hapa kuomba msaada Mifugo zangu zimekumbwa na ugonjwa wa mafua wote wakubwa kwa vifaranga nisaidieni jamani ni aina gani ya dawa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nataka kuanzisha shamba la mipapai na parachichi so wadau naombeni muniambie mbegu bora
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habar wakulima wenzangu, poleni na majukumu najua wengi mko busy na shughuli za kilimo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali ya nchi. Shime tupande mazao yanayokomaa kwa muda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom