wanakukera nini?View attachment 728956 Habari wadau,
Naomba msaada mwenye kufahamu njia rahisi ya kuwaondoa nyuki waliojenga pembeni ya paa la nyumba.
Natanguliza shukurani.
wanakukera nini?[/QUOTE
Siku za karibuni wameanza kutoka na kuuma watu ,wana zaidi ya mwaka hapo muda wote huo hawakuwa kero mpaka walipoanza kushambulia watu.
Moshi nimejaribu , njia hii haikufanikiwa sababu wapo kwa ndani Moshi hauwafikii.Dawa ya nyuki moshi tu, watasepa huto waona tena, nakushauri kama itawezekana fukiza moshi eneo hilo.
Sawa, natafuta number za wataalam piaHao wapo ndani mkuu.
Sasa kwa kuwa unahitaji nyia rahisi choma nyumba.
Ila ukitaka njia ya kuwatoa waite wataalam watawahamisha
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Majibu mengi yanasema moshi, jamaa anasema moshi amejaribu hawajaondoka. Au ajaribu moshi wa mmea?
Hahahahaha, siwashauli hivo maana chaarusha kikiwapanda nyuki hao kichwani nadhani patakua hapatoshi, awafukuze kistarabu tu .Huenda kitu cha Arusha wakakielewa, wakafunga ubalozi.
Nenda kariakoo kanunue dudu all, nunua na sprayer la lita 18.Moshi nimejaribu , njia hii haikufanikiwa sababu wapo kwa ndani Moshi hauwafikii.
Nenda kariakoo kanunue dudu all, nunua na sprayer la lita 18.
Changanya dawa yako iwe kali.
Kuna ile manhole ya kuendea ya ceiling ifungue.
Pulizia dawa hapo tu kwenye man hole. Kisha ifunge.
Shughuli yote hii ifanywe wakati watoto wapo shule, mifugo ipo kwa mbali.
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app