lumia21
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 271
- 243
Wadau naomba msaada kwa wanao jua chochote kuhusu kilimo cha Bilinganya hasa masoko
Mie nimkulima , huwa nalima Ngogwe ali maarufu kama nyanya chungu lakin nataka hamia kwenye Bilinganya...
Ningependa juzwa ni mda gani mzuri wa kulima zao hili kwa upande wa soko.
(hasa la Dar maana niko kilosa)
Mie nimkulima , huwa nalima Ngogwe ali maarufu kama nyanya chungu lakin nataka hamia kwenye Bilinganya...
Ningependa juzwa ni mda gani mzuri wa kulima zao hili kwa upande wa soko.
(hasa la Dar maana niko kilosa)