Hapo ni kuzika tu wote na kusafisha banda kwa dawa,ugonjwa hauna kinga wala tiba.Guys huu ugonjwa wa Nguruwe unaua banda zima kwa siku moja nini kinga? Ukishatokea inabidi ufanyeje kurudi kwenye game? Wale Vitoto vinavyobaki vinafaa kuendelea kufugwa au vinakuwa tayari navyo vinamaambukizi? ?