Tumebarikiwa Ardhi Nzuri Sana

Tumebarikiwa Ardhi Nzuri Sana

Norshad

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
5,224
Reaction score
12,622
Korogwe Tanga
IMG_20180328_194820_127.jpg
IMG_20180328_194448_164.jpg
IMG_20180328_194305_959.jpg
20180328_094840.jpg
20180328_092838.jpg
20180328_081334.jpg
20180328_080944.jpg
 
Tatizo Ardhi ya Tanzania inadamu nyingi sana inayolia bila hatia.

Dr Mvungi

Alphonce Mawazo

Azori

Ben sa 8

Aquilina.

Mtikila

Na wengine wengi!

Lazma Yule jamaa atubu
 
Tatizo Ardhi ya Tanzania inadamu nyingi sana inayolia bila hatia.

Dr Mvungi

Alphonce Mawazo

Azori

Ben sa 8

Aquilina.

Mtikila

Na wengine wengi!

Lazma Yule jamaa atubu
Yaani kwa mawazo yako haya utakuwa masikini maisha yako yote
 
Tanzania ina ardhi nzuri..Tuki itumia ipasavyo umaskini utapungua kwa kiasi kikubwa
 
Tatizo liserikali ni lijinga!! Watu wanalima kwa gharama halafu lenyewe linakuja kuwapangia wauze wapi? Unafikri labda lenyewe litanunua mazao ya wakulima kwa bei ya kuridhisha holaaaa!!
 
Tanga pako vizuri sana...

Tushawahi kufanya utalii wa ndani tukafika Handeni, korogwe hapo, Lushoto na mpaka muheza...


Cc: mahondaw
 
Tanga pako vizuri sana...

Tushawahi kufanya utalii wa ndani tukafika Handeni, korogwe hapo, Lushoto na mpaka muheza...


Cc: mahondaw

pako fresh sana, shida ni moja tu, ila ya epukika, pesa mkuu, inakatika kama maji
 
Back
Top Bottom