BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Wakuu tatizo ni nini, kila nikituma ujumbe wa kawaida kwa njia ya simu , meseji haziwafikii kwa wakati, vivyohivyo nao wakinitumia zinachelewa kunifikia!
Kweli ni keroWakuu tatizo ni nini, kila nikituma ujumbe wa kawaida kwa njia ya simu , meseji haziwafikii kwa wakati, vivyohivyo nao wakinitumia zinachelewa kunifikia!
Kwanza unatumia mtandao gani? pili hakikisha umeweka "message center number" sahihi.Wakuu tatizo ni nini, kila nikituma ujumbe wa kawaida kwa njia ya simu , meseji haziwafikii kwa wakati, vivyohivyo nao wakinitumia zinachelewa kunifikia!
mtandao gani?Wakuu tatizo ni nini, kila nikituma ujumbe wa kawaida kwa njia ya simu , meseji haziwafikii kwa wakati, vivyohivyo nao wakinitumia zinachelewa kunifikia!