chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,535
- 28,283
Habari wanabodi
Katika simu yangu kuna tatizo la "storage space run out ".
Naweza kuweka memory card ya Gb 16 ambayo ni empty kabisa lakini nashindwa ku download hata picha ya kb chache kabisa,
Ninapobadilisha storage yaani kutoka kwenye INTERNAL STORAGE kwenda kwenye MEMORY CARD bado tatizo ni lile lile na kiuhalisia sioni vitu vinavyosababisha Internal storage ya Gb 8 kujaa kwa haraka namna hiyo.
Wakuu naomba kujua namna ya kupata ufumbuzi wa hili tatizo, pia kama naweza kupata App nzuri ya ku clear cache na data ambazo sio muhimu maana nimefikiria ku format simu nikaona kuna baadhi ya vitu muhimu nitapoteza.
Naomba msaada tafadhali.
Katika simu yangu kuna tatizo la "storage space run out ".
Naweza kuweka memory card ya Gb 16 ambayo ni empty kabisa lakini nashindwa ku download hata picha ya kb chache kabisa,
Ninapobadilisha storage yaani kutoka kwenye INTERNAL STORAGE kwenda kwenye MEMORY CARD bado tatizo ni lile lile na kiuhalisia sioni vitu vinavyosababisha Internal storage ya Gb 8 kujaa kwa haraka namna hiyo.
Wakuu naomba kujua namna ya kupata ufumbuzi wa hili tatizo, pia kama naweza kupata App nzuri ya ku clear cache na data ambazo sio muhimu maana nimefikiria ku format simu nikaona kuna baadhi ya vitu muhimu nitapoteza.
Naomba msaada tafadhali.