snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,523
- 2,164
->Je Programming Language ni nini ?
Kama hauna idea kuhusu maana halisi ya Programming Language basi ACHA usijifunze.
->Je nianze kujifunza Programming Language ipi ?
Hii inategemeana na wewe unataka kuutumia vipi ujuzi utakao upata kupitia Programming Language .
Utachagua kuanza na language flani kupitia ushauri utakaoupata kupitia sehemu mbali mbali, ikiwemo humu, ambapo utashauriwa kutokana na wewe lengo lako ni nini.
Ukiona bado haujielewi elewi,
basi angalia mazingira uliyopo utapata msaada gani kwamfano nikianza na PHP basi ntapa msaada kutoka kwa X anaishi nyumba flani.
kama unataka ujifunze kupitia kituo flani, basi ni vizuri ukaomba ushauri hapo utakapoenda kujifunzia, kwani sidhani kama watakwambia uanze na C++ kwasabu ni bei kuliko PHP hapana you've to Note "Were Programmers, we wants you n not your moneys, expect us"
-> Je programming language ipi ni Bora ?
Hakuna language inayozidi nyingine.. Kila language inafit kulingana na kusudio flani.
-> Je natakiwa kujua sana Hesabu ili nisome Programming ?
Sio lazima ila ni muhimu, kwasabu baadhi fields zinahitaji hesabu sana.. Kwamfano Cryptography ku
analyse algorithms n.k
-> Je itanichukua muda gani kuweza Programming Language flani ?
Hii inategemeana na juhudi unazowekeza katika kujifunza Programming Language, na kwa mtu unaenza itakuchukua mda mwingi kidogo kuliko yule ambae alishajifunza Programming Language flani, unae anza itakubidi utumie muda mwingi googling some problems na kuuliza kwenye forums Baadhi ya errors unazozipata n.k
-> Je nitumie IDE au text editors ?
Tumia chochote unachokipenda lakini ni vizuri ukajua kutumia bila IDE.
-> Je nianze na Programming Language ipi ili nifuatie na Language "X"
Anza na hiyo hiyo programming language "X"
-> Je nisome programming language ipi baada yakusoma "X"
Nionavyo mimi ni bora zaidi kusoma Language nyingine ambayo ni tofauti na ile uliyojifunza mwanzo in some aspects.
-> Nimesoma Programming language A,B,C na D je nifuatie na ipi ?
Kama kweli umesoma hizo Programming language zote A,B,C na D alafu bado unajiuliza swali kama hili, basi hujasoma kitu.
->Je nitumie njia gani kusoma Programming Language ?
Haijalishi kama utafundishwa personally or class na mtu au utajifunza online na kupitia vitabu, e-books na videos, lakini vitabu, ebooks and videos are not enough majaribio ndo kitu cha msingi sana.
-> Je nisome Programming Language ngapi ?
Sio lazima kusoma nyingi, soma baadhi ila uzimudu vizuri na pia kumbuka kujifunza Programming na sio Language.
NOTE: kujifunza programming language sio kama unavyojifunza baiskeli na baadae kujiita ukijua ndo umejua.
Kujifunza programming ni sawa na kujifunza kuendesha ndege, ni lazima ukae kwanza Darasani upate theory na baade ukajifunze ukiwa ndani ya ndege kwa kuirusha angani.
Hivyo basi utaweza vizuri programming kama utafanya kile unajochojifunza.
"jifunze kuchora sio kutumia penseli"
Ukiona kuna swali linakutatiza na halijaulizwa hapa/una kitu cha kuongezea uliza... Wakukusaidia wapo wengi....
Sorry for language code-mix
snipa
Kama hauna idea kuhusu maana halisi ya Programming Language basi ACHA usijifunze.
->Je nianze kujifunza Programming Language ipi ?
Hii inategemeana na wewe unataka kuutumia vipi ujuzi utakao upata kupitia Programming Language .
Utachagua kuanza na language flani kupitia ushauri utakaoupata kupitia sehemu mbali mbali, ikiwemo humu, ambapo utashauriwa kutokana na wewe lengo lako ni nini.
Ukiona bado haujielewi elewi,
basi angalia mazingira uliyopo utapata msaada gani kwamfano nikianza na PHP basi ntapa msaada kutoka kwa X anaishi nyumba flani.
kama unataka ujifunze kupitia kituo flani, basi ni vizuri ukaomba ushauri hapo utakapoenda kujifunzia, kwani sidhani kama watakwambia uanze na C++ kwasabu ni bei kuliko PHP hapana you've to Note "Were Programmers, we wants you n not your moneys, expect us"
-> Je programming language ipi ni Bora ?
Hakuna language inayozidi nyingine.. Kila language inafit kulingana na kusudio flani.
-> Je natakiwa kujua sana Hesabu ili nisome Programming ?
Sio lazima ila ni muhimu, kwasabu baadhi fields zinahitaji hesabu sana.. Kwamfano Cryptography ku
analyse algorithms n.k
-> Je itanichukua muda gani kuweza Programming Language flani ?
Hii inategemeana na juhudi unazowekeza katika kujifunza Programming Language, na kwa mtu unaenza itakuchukua mda mwingi kidogo kuliko yule ambae alishajifunza Programming Language flani, unae anza itakubidi utumie muda mwingi googling some problems na kuuliza kwenye forums Baadhi ya errors unazozipata n.k
-> Je nitumie IDE au text editors ?
Tumia chochote unachokipenda lakini ni vizuri ukajua kutumia bila IDE.
-> Je nianze na Programming Language ipi ili nifuatie na Language "X"
Anza na hiyo hiyo programming language "X"
-> Je nisome programming language ipi baada yakusoma "X"
Nionavyo mimi ni bora zaidi kusoma Language nyingine ambayo ni tofauti na ile uliyojifunza mwanzo in some aspects.
-> Nimesoma Programming language A,B,C na D je nifuatie na ipi ?
Kama kweli umesoma hizo Programming language zote A,B,C na D alafu bado unajiuliza swali kama hili, basi hujasoma kitu.
->Je nitumie njia gani kusoma Programming Language ?
Haijalishi kama utafundishwa personally or class na mtu au utajifunza online na kupitia vitabu, e-books na videos, lakini vitabu, ebooks and videos are not enough majaribio ndo kitu cha msingi sana.
-> Je nisome Programming Language ngapi ?
Sio lazima kusoma nyingi, soma baadhi ila uzimudu vizuri na pia kumbuka kujifunza Programming na sio Language.
NOTE: kujifunza programming language sio kama unavyojifunza baiskeli na baadae kujiita ukijua ndo umejua.
Kujifunza programming ni sawa na kujifunza kuendesha ndege, ni lazima ukae kwanza Darasani upate theory na baade ukajifunze ukiwa ndani ya ndege kwa kuirusha angani.
Hivyo basi utaweza vizuri programming kama utafanya kile unajochojifunza.
"jifunze kuchora sio kutumia penseli"
Ukiona kuna swali linakutatiza na halijaulizwa hapa/una kitu cha kuongezea uliza... Wakukusaidia wapo wengi....
Sorry for language code-mix
snipa