Wakuu habarini poleni na majukumu..! Nimekutana na Changamoto. Ktk simu ya yangu ya Android ya kutopata notification za whatsapp na baadhi ya Application kama Live score.. Pale ambapo sipo katika...
Ndugu, natumia simu aina ya tecno Y3+, nahitaji kujua namna ya kuiweka namba blacklist kwa kutumia simu hii, naweza kufanyaje? Ama mtu akiwa ananipigia cm yake ikate tu.
Baada ya kuroot simu ya huawei kestrel G 535 imeandika neno unfortunately huawei home is stopped na app zingine ila nikitouch OK kwenye zingine neno hilo linatoka ila mwisho linabaki la huawei...
Kila nikigusa picha badala ya kufunguka ninaletewa screen ya "send a crash report"
Hivyo nashindwa kabisa kuona attachments zote.
Naomba msaada wa kuondoa tatizo hili.
Heshima kwenu wataalam wa jukwaa....Nina laptop nimenunua Jana ni HP ...ila inashika sana moto kama techno vile NA pia inavuma sana....pia nimeichunguza haina mlango wa CD ...VP wakuu maana jamaa...
Wakuu msaada unahitajika kama heading inavyosomeka.
Habari wakuu, wana Gadgets!
Ni simu ya Android version 4.3, napenda niongeze version pamoja na kuongeza ROM.
Nimejaribu ku update kawaida...
Wakuu naombeni msaada wa jinsi gani naweza kurekebisha keyboard ya kwenye PC yangu ili iweze kufanya kazi kama kawaida, aina ya PC ni lenovo na inatumia window 8.
Hivi kwanini wanao fanya biashara mitandaoni (ONLINE BUSNESS) za simu unaweza ukauliza simu fulani ipo na ukaambiwa ipo pia anakupigia na picha kabisa ya simu unayo ihitaji cha ajabu ime number...
Kuna Simu kila wakati inaandika hivi sijui tatizo ninini kwa maana nime jaribu kui restore lakini ime goma mwenye kujua anifahamishe. Nitangulize heshima kwenu
Wakuu habari zenu. Ninatumia sim tajwa hapo, bahati mbaya niliidondosha na kuvunjika kioo .Hii sim nilipewa na ndg yangu toka US. Je naweza pata hiyo screen au ndio basi tena.
Nawakilisha.
Kwa wale wanaopenda kupakua movie mtandaoni bure, pop corn time , ipo kwa ajili yako.
Ni program isiyopatikana play store. Unatakiwa ku google kupata set up zake.
Now its your time !!