Habari wakuu,
Naomba tupeane maujanja kama kuna trick au apps za kuongeza followers kwenye mtandao wa Instagram.
Nahitaji sana msaada wenu na natanguliza shukrani.
Habari zenu wakuu.
Napenda kutambulisha kwenu uwepo wa app inayoitwa "Appetite" (inapatikana playstore).
App hii inakuwezesha kuandika recipe zako pamoja na kushare hizo recipe. Kwa sasa app ina...
Msaada wadau.. mimi nina simu ya samsung note 4.. sasa recently haifungui picha wala video za instagram wakat netwok iko poa (natumia airtel) na app ipo updated!! App myinginez ziko safi!!
Hili...
Naombeni kunisaidia, hv umeingia dukan kununua simu ya w5 techno, kumbe cmu hyo ilinunuliwa na mtu mwingne ikatumika kwa 3days ukauziwa hyohyo! Je utawezaje kuitambua hyo cmu kama imeshawekewa...
Karibu ni wadau wote wa Ku Design Website kwa kutumia CMS kama WordPress,drupal and joomla tupeane updates
1:Installation na Requirements zake
2:Themes,plugins and widgets updates
3:Jinsi ya...
Kichwa cha habari cha husika.Toka nianze kutumia laptop nimepatwa na hili tatizo mara kwa mara la laptop ku emmit joto la hali ya juu NB:Mazingira yote ya kuhakikisha kunakua na maximum air...
Hellow guyz,
Ninatumain mu wazima wa afya njema katika nchi hii tukufu ya mkuu wa nchi Magufuli.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa, nataka kununua application kutoka appstore na option ya kulipia...
Habari zenu wapendwa?
Naomba kwa wataalamu wa hivi vifaa, maelezo au specification ya hizi computer tafadhali. Nahitaji PC nzuri, naomba msaada wenu plz.
Hello Tech,
Toka mwezi December nimehangaika ku upgrade toka Android marshmallow to Nougat na simu yangu ya huawei P9 lite ila ROM nyingi ni za ulaya na kwengineko nami natumia international...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.