hujasema inasumbuaje,na jee ni keyboard yake au zile za kupachika za nje
yani kwa mfano labda pengine ukitaka kuongeza na kupunguza sauti au kuongeza na kupunguza mwanga katika PC ukibonyeza sasa katika vile vitufe husika katika keyboard havikubalihujasema inasumbuaje,na jee ni keyboard yake au zile za kupachika za nje
kuna sehem umebonyezayani kwa mfano labda pengine ukitaka kuongeza na kupunguza sauti au kuongeza na kupunguza mwanga katika PC ukibonyeza sasa katika vile vitufe husika katika keyboard havikubali
sidhani kama keyboard inaweza ikawa imehalibika kwasababu PC nimeinunua mwaka Jana katikati tu.Badilisha keyboard
ume tun off keyboard filter ngoja nijue wapi utazipaKuna keyboard za aina mbili. Kuna hizi za serial na hizi za USB. Keyboard ya serial inatakiwa ichomekwe wakati komputer haijawaka. Kompyuter ikishawaka serial keyboard haifanyi kazi. Hii keyboard yenye kichwa cha USB unaweza ukachomeka wakati wowote...
poapoa mkuu ngoja nisubiliume tun off keyboard filter ngoja nijue wapi utazipa
nenda control panel kisha program and features,the embeded program tafuta turn on/off window features keyboard filter u enable kama zimekua disabledume tun off keyboard filter ngoja nijue wapi utazipa