Habari wadau,
Nimekuja hapa kupost my experience with a fraud web developer na kama kuwapa caution wengine.
Kuna watu wanajifanya ma web developer lakini ukimpa kazi anaanza mizungusho. Kuna...
Kwa ufupi mimi na-deal software za simu sana sana kuflash simu kwa hiyo nina uzoefu mkubwa, nipo pale Kariakoo kwa hiyo ningependa kusikia swali lolote toka kwenu wadau.
==========
Hizi ni sababu...
Nahitaji kufanya shipping ya Parcel(spare parts ya simu. screen display+ battery) kutoka texas usa kuja bongo kwa mwenye uzoefu. Ipi ni njia rahisi ama best shipping company ambayo naweza kutumia...
Heshima zenu wakuu. Tafadhari naomba wajuzi wa teknolijia hii mnisaidie kujua ubora na bei ya smartphones zifuatazo. Najipanga kupata mojawapo baada ya kupata ushauri wenu maana sijawahi kumiliki...
Source: Techradar.
Nokia is back. The Finnish brand is once again adorning smartphones and at MWC 2017 it took to the stage to reveal its first three devices: Nokia 6, Nokia 5 and Nokia 3.
All...
Habari wakuu,
Naomba yeyote mwenye computer yenye GPU tuwasiliane anisaidie kuna software natumia lakini sina GPU kwenye laptop yangu kwa hiyo sipati results nzuri kwa kutumia CPU peke yake. Kama...
*CAMERAMAN WA ENZI HIZO....* [emoji57][emoji57]
Makamera man walikuwa majeuri
kishenzi yaani! Kwanza unakuta hii
Kamera ina likamba fulani jeusi
inaning'inizwa shingoni.....
Kameraman ana...
Nina simu yangu tecno c5 tatizo pale nikitaka kutumia camera katika whatsapp au instagram au app yoyote ambayo naweza kutumia camera inaandika camera is denied restart your phone.
Msaada, nifanyeje?
balbu ya cfl
JINSI YA KUANZA ZOEZI LAKO
fungua balbu yako
ondosha kigae (spiral) katika balbu yako
muonekano wa ndani wa balbu yako utakuwa kama hivi
tenganisha kwa uwangalifu kigae(spiral)...
Hiv hii machine Kwa game gan inafaa na nitaifanyaje ili niweze kucheza latest games mwenye idea yeyote msaada wako ndo mwisho was tatizo langu nauliza iv kwa sababu kuna pes 15 na linacheza tu vizur
Habari wakuu.
Nahitaji hosted Virtual Private Server (VPS) ambayo nitaweza kuunga na remote desktop yangu. Nimecheki mtandaoni zipo huduma nyingi ila ukitaka server yenye RAM ya 1GB au zaidi ada...
Habarini wakuu.
Kuna tatzo nalipata kwenye simu yangu, ni kwamba kuna muda huwa nakua bizy na mambo yangu mengine sasa simu inaniletea notification ya whatsapp inayosema "YOU MAY HAVE NEW...
Samsung waja na iz S7 watia ki builtin apk icho kinaitwa Custom blocker ambacho mtu ukiiba cmu almost una tumia kama kopo asee ki application hichi huizuia cmu kwenda kwenye download mode ,ADB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.