Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

mhali gani wadau. nilikuwa napenda kujua ni jinsi gani naweza kuboost page ya facebook kwani kila napojaribu naona kuna sehemuza kujaza zilioandikwa YY mara DD nini maana yake ?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba maelekezo ya kitaalamu kuokoa pc iliyoingiliwa na maji.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji msaada kwa anaeweza kunisadia au kunipa maelekezo jinsi ya kuanlock hii simu Nimeitumia kama 10 months lakini kuanzia jumapili nimeamka inaomba Network unlock code
0 Reactions
1 Replies
811 Views
Habari wakuu ? Naomba ushauri wenu juu ya website hii ya e commerce. niliyodesgn kwaajili ya drop shipping business ya bidhaa ndogondogo kutoka china. vipi muonekano wake na urahisi kwa watanzania...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
wakuu salamun Naombeni mnisaidie jambo moja kuhusu PayPal, nilikuwa najisajili lakini nikajikuta nimeandika jina LA mkoa badala ya jina LA wilaya inamaana Kama nitanunua chochote basi kitatumwa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Msaada wakuu..! Kwa yeyote anaye fahamu jinsi ya ku_purchase mzigo eBay eg. Mobilephone, nawezaje kuepukana na mataperi na pia kuweza kupata kitu ambacho ni Og..kwa anayefahamu nitashkuru kwa...
0 Reactions
2 Replies
590 Views
wakuu habar zenu...naombeni mnipe njia za kutoa loki katika simu ya huawei y530 ili isome mitandao mingine..kwa sasa ina soma laini ya tigo tu
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Wakuu nilikua naomba msaada wenu kma kichwa cha habar kilivyoeleza apo juu nilikua naomba kujuzwa kwa maana nimetafuta sana wenye nayo au anayeijua atusaidie apa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habarini.. naomba kuuliza kuhusu hii issue ya kucopy na kupaste katika simu... hivi ni kwa muda gani ulichokikopy kwa kutumia kidole chako unaweza kaa nacho kabla hujapaste?...halafu pia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
habarini za asubuhi vijana wangu naomba msaada wa haraka sana nataka nitengeneze email proffesional kwa mfano jack@doctor.co.tz nafanyaje wadau nahitaji majibu sasa hivi na kama kuna watu unawajua...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
HUAWEI Y330, IKO LOCKED SIM ONE NA TIGO TU NIPENI CODE WADAU Unlock codes
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Naomba kuelimishwa namna ya kufungua paypal account....napata tabu saaana kufanya malipo ya ununuzi wa programs za software
0 Reactions
2 Replies
694 Views
Kwa wale wataalamu wa mambo yetu ya GRAPHICS nimefanya installation ya ADOBE PHOTOSHOP both CS5 AND CS6 lakini sioni ile option ya 3D. Nimejaribu kutafuta solution nakakutana na application ambayo...
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Wana jf natumia simu aiana ya Samsung galaxy ji tatizo lake ni kwamba nikitumia mitandao ya kijamii kama instagram,simu inaandika kwamba storage imejaa hata kama kukiwa na memory na hali hiyo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenye screen touch ya HTC one xl tafadhali anijuze, taja bei
0 Reactions
0 Replies
492 Views
Black holes are the source of endless fascination and speculation. Do they hold the secrets of the universe and perhaps even the key to time travel itself? We may never know the answers to...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba munisaadie app ya kuiwezesha MacBook kuwezesha kusoma Androids phone kwenye macbook
0 Reactions
0 Replies
416 Views
Habari bandugu. Nina simu ya kutoka msumbiji aina ya Movitel ukiweka laini za Tanzania hazifanyi kazi. Ninatumia laini za Vodacom Tanzania wala haisomi,msaada wana-IT.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
wanajukwaa naomba msaada wa password kwenye hii game.. flight simulator X deluxe.. kila nikijaribu nashindwa kuzipata.. msaada tafadhali..!
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Habari wadau, Nimekuja hapa kupost my experience with a fraud web developer na kama kuwapa caution wengine. Kuna watu wanajifanya ma web developer lakini ukimpa kazi anaanza mizungusho. Kuna...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom