Tatizo la simu yangu ya Samsung galaxy j1

Tatizo la simu yangu ya Samsung galaxy j1

bway hermit

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2017
Posts
1,360
Reaction score
2,356
Wana jf natumia simu aiana ya Samsung galaxy ji tatizo lake ni kwamba nikitumia mitandao ya kijamii kama instagram,simu inaandika kwamba storage imejaa hata kama kukiwa na memory na hali hiyo inasababisha other systems kushindwa kufanya kazi vyema.
Naombeni msaada wa mawazo je nifanyeje kusov
 
..Hio simu ina tendencies hizo,fanya kuhamisha vitu vya muhimu kwenda kwenye PC labda alaf clear cache na data za Apps mara kwa mara,jaribu kudisable google play services
 
Mwenye screen touch ya HTC one xl, taja na bei kabisa
 
Back
Top Bottom