MSAADA-jinsi ya kuboost page ya facebook.

MSAADA-jinsi ya kuboost page ya facebook.

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,539
Reaction score
4,854
mhali gani wadau.
nilikuwa napenda kujua ni jinsi gani naweza kuboost page ya facebook kwani kila napojaribu naona kuna sehemuza kujaza zilioandikwa YY mara DD
nini maana yake ?
 
nini maana ya hizi:
CARD NUMBER.
MMM
YYY
CVV ?
 
Back
Top Bottom