Msaada kuhusu hili tatizo la WhatsApp

lipoprotein

Member
Oct 4, 2016
51
58
48d5a517dbf1165432da0f169ddf1b24.jpg


Jaman kuna simu yangu inaonyesha hayo maneno nikitaka kuinstall WhatsApp apps, so hata ukibahatika kuinstall bado kupitia WiFi bado kusend text inasumbua.
Msaaada tafadhari
 
Kwenye name andika halotel, kwenye APN andika internet, ukimaliza save, zima data halafu washa tena, itaanza kufanya kazi, wakati mwingine hat usipo zima na kuwasha inafanya kazi
 
Mkuu nisaidie jinsi ya kumblock mtu anayekazimisha kujirudisha keene group la whatsapp ambalo mimi ni admin, amepata link ya group, sasa ukimremove anajiunga mwenyewe
Hahahahhh, pole mkuu. Huyo mtu ana vituko.

Fanya kama unataka kuadd mtu mwingine:

1. Add participant
2. Invite to group via link
3. Revoke link

Hapo utakuwa umebatilisha ile link ya zamani na kuweka link mpya. Kwa hiyo wenye link ya zamani hawataweza kujiunga.
 
Hahahahhh, pole mkuu. Huyo mtu ana vituko.

Fanya kama unataka kuadd mtu mwingine:

1. Add participant
2. Invite to group via link
3. Revoke link

Hapo utakuwa umebatilisha ile link ya zamani na kuweka link mpya. Kwa hiyo wenye link ya zamani hawataweza kujiunga.
asante mkuu nitajaribu, nitakupa mrejesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom