Msaada: Android App for Blocking SMS and Auto-delete them

Mad Max

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
19,050
49,685
Wana jukwaa habari?

Anatafuta android app kwaajili ya kublock incoming sms. najua nyingi zinaweza iyo kazi but zinaweka spam box or blocked box.

je naweza pata app (free) ambayo itakua inazi delete uko uko automatically sio hadi mimi niende. maana nikienda najikuta nazisoma sometimes. maana ya kublock inakua haipo maana unakua kama umezikusanya uzisome kwa pamoja. thanks.
 
Wana jukwaa habari?

Anatafuta android app kwaajili ya kublock incoming sms. najua nyingi zinaweza iyo kazi but zinaweka spam box or blocked box.

je naweza pata app (free) ambayo itakua inazi delete uko uko automatically sio hadi mimi niende. maana nikienda najikuta nazisoma sometimes. maana ya kublock inakua haipo maana unakua kama umezikusanya uzisome kwa pamoja. thanks.
weka limit tu kwamba ikifika meseji 1 ijifute zinajifuta
 
Wana jukwaa habari?

Anatafuta android app kwaajili ya kublock incoming sms. najua nyingi zinaweza iyo kazi but zinaweka spam box or blocked box.

je naweza pata app (free) ambayo itakua inazi delete uko uko automatically sio hadi mimi niende. maana nikienda najikuta nazisoma sometimes. maana ya kublock inakua haipo maana unakua kama umezikusanya uzisome kwa pamoja. thanks.
nimecheka sana, et zinajikusanya ili usome kwa pamoja.hahahahh badili namba tu ndo njia rahisi
 
ndio
nimecheka sana, et zinajikusanya ili usome kwa pamoja.hahahahh badili namba tu ndo njia rahisi
nimecheka sana, et zinajikusanya ili usome kwa pamoja.hahahahh badili namba tu ndo njia rahisi
mkuu zipompa
nimecheka sana, et zinajikusanya ili usome kwa pamoja.hahahahh badili namba tu ndo njia rahisi

ndio mkuu zipompa unakuta mtu anakutukana maybe au anakupa maneno mabaya. ukiweka blacklist app nyingi zinazidirect ktk spambox hafu kudelete unaenda manually. sasa pale unashawishika kusoma mkuu.
 
Back
Top Bottom