Mkuu nadhani line zote zinakuwa pre configured kwamba ukijasa IP au ukiandika access point tu inaconnect moja kwa moja sababu ukiandika neno lolote tu inaconnect mfano internet,znet,net hata jina lako au andika SHAROBARO kitu kinacconect. so ni pre configured ukiona pale pembeni kuna alama ya 3G au E au G jua ipo tayari.<br />
<br />
Kuhusu kuhack IP adress is possible bt i cant tell u the detail. ukifatilia post zangu utagundua kuwa kuna watu wanatumia internet bure humu ndani thanks to ME kunawatu waliponda sbabu nilikuwa naziuza anyway ni CLOSED issue!!! Fahamu kuwa ni ILLEGAL(kinyume cha sheria) kuna mkuu akaomba tudelete ile post kwa usalama binafsi thanks to him..ila hadi leo watu wanatumia bure na HAZIPO TENA. So niujanja fulani hadi uujue na haupo sikuzote ukigundua Loophole wao wa mtandao wanafunga fasta. Halafu JF sio sehemu ya kupeana tricks hizo sababu ni sehemu ya uwazi na wenye makampuni ya simu wapo humu wanasoma Thread kama Hizi.<br />
<br />
Kama kweli upo interested na kuhack Internet ya simu...Tafuta software ya ku PING alafu tafuta IP ya mtandao unao taka kuping...jaribu ku ping na utapata IP nying ambazo zingine zinatumika na zingine hazitumiki...ila sio rahisi kihivyo u never know unaweza ukawa LUCKY!!<br />
<br />
Au tumia google kutafuta unachotaka...fahamu kuwa kipo na kunawatu wanafanya unavyofikiria wewe.Goodlucky.<br />
<br />
Cheers Mkuu!!!