elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Simu nying latest hasa zinazotumia operating system za android, windows mobile hazitumii ip address na pronxy katika kuset internet. Hizi simu zinatumia access point tu ambayo ni internet then unaweza surf na kudwnload. Simu zinazotumia ip address unaweza change configuration ukaweka ip address nyngine ukatumia internet bure. Je hizi ambazo hazina hiyo nan anajua jinsi ya ku hack internet yake