Samsung zilizofungiwa na TCRA

Samsung zilizofungiwa na TCRA

Philipo D. Ruzige

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2015
Posts
9,429
Reaction score
27,132
Hiv karibuni kulikua na wimbi la samsung original kufungiwa na TCRA

Simu nzima inasoma line ila haipandishi mtandao. Au inapandisha mtandao ila haipigi, haipokei wala data hupati.

Ukituma imei TCRA unaambiwa simu yako imefunguwa.

Ukweli: Simu hizo sio fake wala sio kwamba zipo chini ya viwango hata kidogo.

Source ya tatizo: Kwa 100% hizo ni simu refubrished, used. Kwa mfano simu ya wizi, au yoyote isiyo halali inafanyiwa refubrish ikija huku bongo inaonyesha kuwa ni mpya na inauzwa dukan kwa bei mpya na kila kitu unapewa

Tatizo la kutoshika mtandao ni kwamba hizo simu zipo Blacklisted (imei/serial number blacklisted) hivyo dunian kote huwezi kutumia.

Wahuni wa nchi za wenzetu kuna kitu wanafanya (kasome kuhusu samsung certs.) hili kuzi unblok kwenye hicho kifungo
(hii haiusian na kubadili imei)
(sifanyi huduma hii japo naiweza 10000%)

Nakaribisha maswali na maoni
(for education purpose only)

PHillz unlock service
 
Cert ndio kubadili imei ila imei nyingi zipo blocked ambazo zinapatikana kwenye mitandao free
 
I believe on this. Kuna friend of mine yeye alikua na sony experia moja matata sana japo ckumbuk model yke, et nayo ilifungiwa kuwa ni feki!
 
samsung cyo kwamba zimefunguwa, imei number au serial number huwa ziko blacklisted au nyingine huwa zina corrupted imei ambazo huwa zinasomeka kama hvi... 000490............ and so on. sababu ya imei kuwa blacklisted ni pale inapotokea imei za cmu yako zimefanana na za cmu nyingne may b kwa kuwa hzo imei zaliwahi tumika zikaandikwa kwenye cmu nyingne au certificates za bure zilizopo mitandaoni ambapo kila aliyetumia hyo certificate atakumbana na hlo tatizo na kuna kitu kinaitwa super imei kwenye tools km BST au OCTOPUS... hizi ni imei zinazotolewa na tool husika na kila mwenye hyo tool anaweza kuzitumia so imei moja inapotumiwa mara nyingi inakuwa blacklisted.. SOLUTION.. kubadili imei kama hyo cmu inasupport imei change ila ni KINYUME NA SHERIA ZA TCRA na ni KOSA LA JINAI kwa cmu ambazo hazisupport imei change basi yakupasa kununua certificate ambayo itakuja na imei na serial number
 
Hiv karibuni kulikua na wimbi la samsung original kufungiwa na TCRA

Simu nzima inasoma line ila haipandishi mtandao. Au inapandisha mtandao ila haipigi, haipokei wala data hupati.

Ukituma imei TCRA unaambiwa simu yako imefunguwa.

Ukweli: Simu hizo sio fake wala sio kwamba zipo chini ya viwango hata kidogo.

Source ya tatizo: Kwa 100% hizo ni simu refubrished, used. Kwa mfano simu ya wizi, au yoyote isiyo halali inafanyiwa refubrish ikija huku bongo inaonyesha kuwa ni mpya na inauzwa dukan kwa bei mpya na kila kitu unapewa

Tatizo la kutoshika mtandao ni kwamba hizo simu zipo Blacklisted (imei/serial number blacklisted) hivyo dunian kote huwezi kutumia.

Wahuni wa nchi za wenzetu kuna kitu wanafanya (kasome kuhusu samsung certs.) hili kuzi unblok kwenye hicho kifungo
(hii haiusian na kubadili imei)
(sifanyi huduma hii japo naiweza 10000%)

Nakaribisha maswali na maoni
(for education purpose only)

PHillz unlock service
unapozungumzia certificate in samsung hapo unazungumzia change of imei na serial number na kila certificate inakuwa na unique imei na serial number
 
Niliwafata Samsung pale Kkoo wanasema nitoe 130,000 na simu niiache kwa siku 5.

Ebo! Yaani simu ijichange IMEI yenyewe mimi nikatoe hiyo pesa? Kwa kweli nilimtazama yule dada kisha nikaweka simu mfukoni haraka sana kabla hasira hazijanipanda zaidi.
 
Niliwafata Samsung pale Kkoo wanasema nitoe 130,000 na simu niiache kwa siku 5.

Ebo! Yaani simu ijichange IMEI yenyewe mimi nikatoe hiyo pesa? Kwa kweli nilimtazama yule dada kisha nikaweka simu mfukoni haraka sana kabla hasira hazijanipanda zaidi.
samsung wanachokifanya wanabadilisha tu hyo mashine then hyo inarudishwa inaenda kufanyiwa repair
 
Niliwafata Samsung pale Kkoo wanasema nitoe 130,000 na simu niiache kwa siku 5.

Ebo! Yaani simu ijichange IMEI yenyewe mimi nikatoe hiyo pesa? Kwa kweli nilimtazama yule dada kisha nikaweka simu mfukoni haraka sana kabla hasira hazijanipanda zaidi.
Ukitaka kubadilisha imei tumia app imei generet inasoma tena line
 
Back
Top Bottom