Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Mimi kapotea....! Kutokana na kupenda changamoto mpya nipo tayari kukusaidia ukiwa na shida yoyote ya IT. Aina ya support nayo toa ni free na remote Kama itakuwa shida ya hardware nitakushuri...
1 Reactions
0 Replies
503 Views
Kuponda ndo mnachojua, Kwa nini msitafute alternative solution ya problem. Mnapenda kujaji vitu kwa mnavyoviona na hamchunguzi kiundani tatizo ni nini! Na kwa nini tech wa TZ wengi wawe wabovu...
0 Reactions
12 Replies
802 Views
Wakuu ni hivi Niko na pc moja hapa jina ni Dell latitude E5430 Sasa hii Pc sikuu za nyuma kidogo ilikuwa inadai kuwa graphics drivers ni zakitambo kwa hivyo na hitaji ku update. Sasa nikacheck...
0 Reactions
1 Replies
578 Views
naomba kujua faida na hasara computer za apples
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Usika na kichwa cha habari hapo juu Nimetumiwa simu na rafiki yangu lkn tatizo haisomi line inasoma kwa muda then inanilete ujumbe huu Mwenye kujua tatizo naomba anisaidie Natanguliza shukrani
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za leo Motor ya 3 phase inazunguka kuelekea upande tofauti na unaotarajiwa(Anticlockwise) hivyo kushindwa kufanya kazi inayotakiwa kufanya. Ni connection gani ifanyike au marekebisho gani...
0 Reactions
3 Replies
867 Views
Msaadaa je kioo kikiwa red kwenye simu kina madhara kinahitaji kubadidilishwa au unaweza tumia tu maana kioo cha cmu yangu kwenye sehemu nyeupe kina kuwa kama pink lakin kwenye video inaonyesha...
0 Reactions
0 Replies
367 Views
Wadau hivi ni jinsi gani naweza kuipata wifi password hacker v5 kwasababu nimejaribu kudownload ninapata shida, naombeni msaada.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Poleni ndugu zangu kwa machungu ya tozo na Kalyanda[emoji2357] Naomba niingie kwenye mada husika kama nilvoandika hapo juu. Natamani kununua kisimbuzi cha antena cha Azam hii ni baada ya kukosa...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari wakuu..Kipindi hiki Cha joto simu zinapata Moto sana. Hasa hizi simu zetu za tecno yaani Hadi unaogopa kuendelea kuitumia mpaka ipoe hasa ukiwa kwenye mtandao vipi Kuna madhara yanaweza...
0 Reactions
6 Replies
651 Views
kwenye audio kuna option ta 32 kbps, 64 kbps, 128 kbps, 320 kbps na hii DD+ atmos 768 kbps. Nimevutiwa na namba kubwa, laptops zetu hizi za kawaida kuna haja ya kushusha huo mzigo wenye 768 kbps ??
0 Reactions
1 Replies
562 Views
Wadau nimetumia computers zinazotumia window, sasa nimechoka mambo ya kuinstall window na matatizo kibao, sasa nataka kuhamia computer za Mack. Sasa naomba kujua faida zake na hasara zake.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama msaada Tampa halo juu waungwana naomba kujua ubora wa hiyo simu na matatizo yake maana nataka kununua na itapendeza kama bei mungenielekeza ili kuepuka mapunjo makubwa.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kundi la tatu la sampuli za majaribio ya sayansi ya anga za juu, ambalo lilirudishwa na chombo cha anga za juu cha Shenzhou 14 cha China, lilirejeshwa Beijing alfajiri ya tarehe 5. Sampuli...
-1 Reactions
4 Replies
787 Views
Habari wakuu Kusema kweli hapa Kuna kitu sikielewi ,siku ya tano Leo WhatsApp yangu imekuwa haifanyi kazi ,hata nikibadili namba bado unakuja ujumbe wa kublock ,wananipa maelekeo kuverifie...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Rafiki yangu ameniomba nimpe ushauri kuhusu hizi simu mbili za Samsung. Binafsi natumia simu ndogo tu ya Samsung A11. Sijawahi kuvuka hapo hivyo sina uzoefu na hizi mnazoita Flagship. Sasa...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Habarini Wadau, Naomba nijuzwe ni software ipi ya muhimu sana na inayoweza kutumiwa na bank zote au karibu zote katika process nzima ya kukeep data,kufanya transactions n.k Kuna uwezekano mkubwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau, Ukiingia website nyingi utaambiwa"We use cookies to enhance performance"hapa watakutaka ukubali cookies(accept)au uzikatae. Sasa naomba kujua cookies ni nini na kazi zake ni zipi na...
12 Reactions
37 Replies
2K Views
-----------IN_FACT------------ USIJARIBU KUGOOGLE VITU HIVI KAMA UTAJARIBU NI JUU YAKO MAANA NAKUAHIDI GOOGLE WAATAHARIBU KABISA SIKU YAKO 01.TUBGIRL Ukigoogle neno hili TUBGIRL utapata kuona...
4 Reactions
41 Replies
9K Views
Back
Top Bottom