Msaada; Cookies na cache huwa ni vitu gani?

Farolito

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
11,634
26,373
Wadau,

Ukiingia website nyingi utaambiwa"We use cookies to enhance performance"hapa watakutaka ukubali cookies(accept)au uzikatae.

Sasa naomba kujua cookies ni nini na kazi zake ni zipi na ukikubali au ukizikataa zina athari gani?

Pili kwenye simu zetu kuna vitu huwa vinaitwa cache,mara nyingi simu inakutaka Ku clear cache,hivi navyo ni vitu gani na vinasaidia nini?

Karibuni kwa ufafanuzi.
 
Cookies ni website Technology inayotumiwa na Website kumtambua browser users kwa kumpa unique ID , ilikuwaza kutrack shughuli zake zote anazofanya kwenye hiyo website.
Mfano mimi mfagio nitakapo ingia kwenye website ya Amazon.com itaniomba kuaccept cookies ili kuweza kunitambua na kujua activities zote nilizofanya mfano kujua bidhaa nilizo click , page nilizotembelea sana ,bidhaa nilizonunua.
Kwaiyo hata baadaye nitakapo tembelea Amazon.com kupitia browser ile ile tayari Amazon.com itakuwa inanitambua nakujua nini nilifanya uko nyuma.
Cookies data mara zinatunzwa kwenye file ya computer na kusimamiwa na browser ( chrome) na pia utunzwa kwenye database ya kwenye server.

Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
 
Cookies ni website Technology inayotumiwa na Website kumtambua browser users kwa kumpa unique ID , ilikuwaza kutrack shughuli zake zote anazofanya kwenye hiyo website.
Mfano mimi mfagio nitakapo ingia kwenye website ya Amazon.com itaniomba kuaccept cookies ili kuweza kunitambua na kujua activities zote nilizofanya mfano kujua bidhaa nilizo click , page nilizotembelea sana ,bidhaa nilizonunua.
Kwaiyo hata baadaye nitakapo tembelea Amazon.com kupitia browser ile ile tayari Amazon.com itakuwa inanitambua nakujua nini nilifanya uko nyuma.
Cookies data mara zinatunzwa kwenye file ya computer na kusimamiwa na browser ( chrome) na pia utunzwa kwenye database ya kwenye server.

Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
Asante kwa maelezo mazuri,sasa hapa naona zaidi inawasidia wao kuliko Mimi,kwangu mimi zina faida gani?je nikikataa kuna athari zozote kwangu?

Na vipi kuhusu Cache?
 
Cache mkuu ni vile vitu ambavyo hutumia mara kwa mara mfano hapa jamiiforums logo ya jamiiforums kila page unayofungua ipo, hivyo browser inaweza kuihifadhi kama cache kufanya page iload faster na kupunguza ulaji mb. So kifupi cache ni mafile ambayo browser inahifadhi ili kuload page kwa haraka zaidi.

Cookies ni kama cache sema website yenyewe ndio inahifadhi mfano unaweka night mode hapa jamiiforums, so jf itatengeneza Cookies ili kila ukiingia jamiiforums night mode inakua on.
 
Cache mkuu ni vile vitu ambavyo hutumia mara kwa mara mfano hapa jamiiforums logo ya jamiiforums kila page unayofungua ipo, hivyo browser inaweza kuihifadhi kama cache kufanya page iload faster na kupunguza ulaji mb. So kifupi cache ni mafile ambayo browser inahifadhi ili kuload page kwa haraka zaidi.

Cookies ni kama cache sema website yenyewe ndio inahifadhi mfano unaweka night mode hapa jamiiforums, so jf itatengeneza Cookies ili kila ukiingia jamiiforums night mode inakua on.
Asante kwa maelezo mkuu,
Kwa upande wa cache je nikizifuta(clear cache) ina kuna madhara yoyote kwa Mimi mtumiaji wa JF kwa mfano

Na upande wa Cookie je nisipoikubali inaniathiri nini Mimi kama mtumiaji au inaathiri vipi website?
 
Cache ni storage inayotumika kutunza taarifa zinazokuwa Accessed na processor mara kwa mara. Hii storage huwa ni ndogo pia ni bei juu kufananisha na storage zingine kwa size.

Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
Faida yake ni nini?na unaposema ni bei juu inamaana gani maana Mimi nazikuta tayari zipo kwenye simu,sasa nilizinunua lini?
 
Back
Top Bottom