Galaxy s10e haisomi line

kagwima

JF-Expert Member
Jun 6, 2016
1,241
1,548
Usika na kichwa cha habari hapo juu
Nimetumiwa simu na rafiki yangu lkn tatizo haisomi line inasoma kwa muda then inanilete ujumbe huu

Mwenye kujua tatizo naomba anisaidie

Natanguliza shukrani
Screenshot_20220825-092041_Phone.jpg
 
Usika na kichwa cha habari hapo juu
Nimetumiwa simu na rafiki yangu lkn tatizo haisomi line inasoma kwa muda then inanilete ujumbe huu

Mwenye kujua tatizo naomba anisaidie

Natanguliza shukraniView attachment 2350574

Umetumiwa toka nchi gani, USA?

Je, unaweza ukaweka hapa version ya hiyo simu yako? nenda Settings, then About phone...

Tatizo linaweza likawa carrier frequency za bongo si sawa na za ilipotoka, itasoma 2G tu kama ukifix katika band hiyo
 
Umetumiwa toka nchi gani, USA?

Unaweza ukaweka version ya hiyo simu yako, nenda Settings, then About phone...

Tatizo linaweza likawa carrier frequency za bongo si sawa na za ilipotoka, itasoma 2G tu kama ukifix katika band hiyo
Ngoja nijaribu kufanya hivyo
Yeah ilitumwa kutoka USA
 
Back
Top Bottom