Ngoja niwe na subraNahis carrier haisapoti hapa kwetu, sema ngoja aje mjuzi
Cc Chief-Mkwawa
verizon ni mtandao wa Marekani mkuu, imewahi kuhitaji code mkuu?
inaandikaje?Mi nna copy ya A83 ultra single line haisomi pia
Usika na kichwa cha habari hapo juu
Nimetumiwa simu na rafiki yangu lkn tatizo haisomi line inasoma kwa muda then inanilete ujumbe huu
Mwenye kujua tatizo naomba anisaidie
Natanguliza shukraniView attachment 2350574
wasiliana na aliyekupa mkuu pengine ina deni, aki clear kule itasoma huku, otherwise peleka kwa mafundi wa ku unlock simu, walipie wakufungulie.Hapana
Ngoja nijaribu kufanya hivyoUmetumiwa toka nchi gani, USA?
Unaweza ukaweka version ya hiyo simu yako, nenda Settings, then About phone...
Tatizo linaweza likawa carrier frequency za bongo si sawa na za ilipotoka, itasoma 2G tu kama ukifix katika band hiyo
Umefanikiwa mkuu nicheki pmNgoja nijaribu kufanya hivyo
Yeah ilitumwa kutoka USA