martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 864
- 1,464
Kuponda ndo mnachojua,
Kwa nini msitafute alternative solution ya problem.
Mnapenda kujaji vitu kwa mnavyoviona na hamchunguzi kiundani tatizo ni nini!
Na kwa nini tech wa TZ wengi wawe wabovu!? Huoni kama kuna kitu hakipo sawa nchini.
Mfumo wa elimu ya Tanzania ni mbovu, na moja ya ubovu wake ni hautengenezi mazingira ya professions kwa wanafunzi kutoka chini.
I'm surely also 70% ya IT wa TZ wanasoma as alternative option baada ya kushindwa kufikia malengo ya coz zao.
Sasa mnavyoponda itasaidia nini sasa!!??
Acheni hayo mambo, watu wanatumia pesa, nguvu na maarifa kwenye taaluma zao, then nyie kirahisi mnaingilia taaluma za watu.
Kwa nini msitafute alternative solution ya problem.
Mnapenda kujaji vitu kwa mnavyoviona na hamchunguzi kiundani tatizo ni nini!
Na kwa nini tech wa TZ wengi wawe wabovu!? Huoni kama kuna kitu hakipo sawa nchini.
Mfumo wa elimu ya Tanzania ni mbovu, na moja ya ubovu wake ni hautengenezi mazingira ya professions kwa wanafunzi kutoka chini.
I'm surely also 70% ya IT wa TZ wanasoma as alternative option baada ya kushindwa kufikia malengo ya coz zao.
Sasa mnavyoponda itasaidia nini sasa!!??
Acheni hayo mambo, watu wanatumia pesa, nguvu na maarifa kwenye taaluma zao, then nyie kirahisi mnaingilia taaluma za watu.