Xiaomi ni Moja ya simu nzuri Sana hawa jamaa simu zao zinenyooks sema kama unaviela chukua note 11Kama msaada Tampa halo juu waungwana naomba kujua ubora wa hiyo simu na matatizo yake maana nataka kununua na itapendeza kama bei mungenielekeza ili kuepuka mapunjo makubwa.
Chukua Note 10 pro, itakua poa zaidi.Xiaomi ni Moja ya simu nzuri Sana hawa jamaa simu zao zinenyooks sema kama unaviela chukua note 11
Ahsante mkuu kwa msaada wakoChukua Note 10 pro, itakua poa zaidi.
Ni simu nzuri. Nafahamu watu kadhaa ambao wanatumia na sijawahi sikia shida yoyote. Zipo njema sana.
Kipindi fulani nilitaka kuagiza china direct . Bei zilikua hivi
View attachment 2304753View attachment 2304754
Pamoja sana mkuu, nasema ahsante!Mkuu 10s si simu mbaya ila kwa muono wangu bei ya 550,000 kupanda not worth it. Tigo shop version ya 6GB walikua wanauza 550k na 8GB ni 580k ama 600k sikumbuki vizuri.
Snapdragon 695 ni soc nzuri sana kwa hii price point.
Siku hizi kupata simu used kama zamani ni kazi, unakumbana tu na refurbished za kutosha.Achana na hizo takataka za kichina. Nenda dukani tafuta simu zilizotumika nje ya nchi, mfano, UK, USA,JAPAN, DUBAI, n.k kufuatana na sifa ya simu uitakayo, na utapata kwa bei ya chini sana! watu wengi wanaojitambua walishaacha kununua hayo madudu ya kichina wanayouza kwa bei ya juu bila sababu ya msingi. Mfano nimenunua simu karibuni ya mwaka 2017 ina uwezo wa kucheza video za 4K.
Yani mtu aka risk 500 kweny refurbished za sasa hizi za dubai?Achana na hizo takataka za kichina. Nenda dukani tafuta simu zilizotumika nje ya nchi, mfano, UK, USA,JAPAN, DUBAI, n.k kufuatana na sifa ya simu uitakayo, na utapata kwa bei ya chini sana! watu wengi wanaojitambua walishaacha kununua hayo madudu ya kichina wanayouza kwa bei ya juu bila sababu ya msingi. Mfano nimenunua simu karibuni ya mwaka 2017 ina uwezo wa kucheza video za 4K.
Chukua kaka, Xiomi ni simu zenye features nzuri mno, mi natumia Redmi 10, RAM ni 4+2 GB na internal ni 128 GB. Hiyo Redmi Note 10s ni bira zaidi. Kama upo Dar tuwasilianeKama msaada Tampa halo juu waungwana naomba kujua ubora wa hiyo simu na matatizo yake maana nataka kununua na itapendeza kama bei mungenielekeza ili kuepuka mapunjo makubwa.
Na ndiyo anayotumia halafu ana diss, jalafu dunia ya leo unatumiaje simu imepita kwa mtu aiseeSiku hizi kupata simu used kama zamani ni kazi, unakumbana tu na refurbished za kutosha.
Tuache tumiliki flag ship zetu kwa bei ya mid range mzee. Mfano hiyo 500k unaweza pata Samsung S10+. Sasa kati ya hiyo S10+ na redmi note 10 ukiachana na sifa ya upower bank ya redmi kipi cha zaidi anacho kumzidi S10+?Na ndiyo anayotumia halafu ana diss, jalafu dunia ya leo unatumiaje simu imepita kwa mtu aisee
S10+ mpya mkuu, Sidhani kama utapata mpyaTuache tumiliki flag ship zetu kwa bei ya mid range mzee. Mfano hiyo 500k unaweza pata Samsung S10+. Sasa kati ya hiyo S10+ na redmi note 10 ukiachana na sifa ya upower bank ya redmi kipi cha zaidi anacho kumzidi S10+?