Wifi password hacker

Wifi password hacker

CHRISTOPHERT

Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
8
Reaction score
3
Wadau hivi ni jinsi gani naweza kuipata wifi password hacker v5 kwasababu nimejaribu kudownload ninapata shida, naombeni msaada.
 
wadau hivi ni jinsi gani naweza kuipata wifi password hacker v5 kwasababu nimejaribu kudownload ninapata shida ,naombeni msaada.
Usifuate mkumbo mkuu programu nyingi za ku-hack wi-fi password kwenye play store ni scammer tu hakuna msaada zaidi ya kupewa video ads (matangazo) na link za ajabu ajabu programu za uhakika ziko deep sana mengine unalipa hata $90
 
wadau hivi ni jinsi gani naweza kuipata wifi password hacker v5 kwasababu nimejaribu kudownload ninapata shida ,naombeni msaada.
Achana na hizo third-party programs nyingi za uongo ni chache saaaana zenye uwezo hata 10 sidhani kama zinafika.. Njia pekee kula kozi za mambo ya networking na cybersecurity kisha cheza na KALI LINUX au ANDRAX..
 
Hacking mnachukulia kama Kunywa Mbege.

WiFi iwe hacked sio kiwepesi hivyo ndg yangu kwamba uta download App then few clicks tyr ushapata access.

Kwa ground mambo ni Mazito, na wala si swala la App hapo ni swala la Tools na weledi (Uwe unajua unachokifanya)
 
Hacking mnachukulia kama Kunywa Mbege.

WiFi iwe hacked sio kiwepesi hivyo ndg yangu kwamba uta download App then few clicks tyr ushapata access.

Kwa ground mambo ni Mazito, na wala si swala la App hapo ni swala la Tools na weledi (Uwe unajua unachokifanya)
Ni kweli kabisa ndugu yangu umeongea kwa usahihi fikiria tangu zamani mpaka sasa kuna toturial na huduma ngapi zinabebwa na google mfano how to hack any WiFi na unaona ni kweli but ukijaribu ni vitu viwili tofauti....
 
Ni kweli kabisa ndugu yangu umeongea kwa usahihi fikiria tangu zamani mpaka sasa kuna toturial na huduma ngapi zinabebwa na google mfano how to hack any WiFi na unaona ni kweli but ukijaribu ni vitu viwili tofauti....
Exactly, without Social Engineering Method ni ngumu maana alternative ni Bruteforce Methodology ambayo itachukua muda sana kwa vile password ya Wifi inamjumuiko wa characters 10+, cracking/penetration yake si ya leo wala kesho.
 
Exactly, without Social Engineering Method ni ngumu maana alternative ni Bruteforce Methodology ambayo itachukua muda sana kwa vile password ya Wifi inamjumuiko wa characters 10+, cracking/penetration yake si ya leo wala kesho.
It's true guys lakini haimaanishi kwamba hacking haiwezekani inawezekana but inabidi uwe mjanja about hacking Tools na IT kwa ujumla ukiwa kilaza kitakacho kukuta ni bora hata usingejaribu....
 
It's true guys lakini haimaanishi kwamba hacking haiwezekani inawezekana but inabidi uwe mjanja about hacking Tools na IT kwa ujumla ukiwa kilaza kitakacho kukuta ni bora hata usingejaribu....
Yeah, kuna watu wamesoma Computer Science Bachelor Degree kbs lakini ni weupe kama walisoma Procurement vile yaan hawaelewi hawana upeo na maarifa ya kufanya mambo makubwa.

All in all, hii fani si ya kila mtu.
 
Yeah, kuna watu wamesoma Computer Science Bachelor Degree kbs lakini ni weupe kama walisoma Procurement vile yaan hawaelewi hawana upeo na maarifa ya kufanya mambo makubwa.

All in all, hii fani si ya kila mtu.
Uwezo wa mtu sio cheti aliyonayo ni uwezo wa kipekee kutoka ndani hii Kazi ukiwa na passion nayo utafanya mambo makubwa na wengine watashangaa kila kitu inahitaji subira na utulivu wa hali ya juu....
 
Uwezo wa mtu sio cheti aliyonayo ni uwezo wa kipekee kutoka ndani hii Kazi ukiwa na passion nayo utafanya mambo makubwa na wengine watashangaa kila kitu inahitaji subira na utulivu wa hali ya juu....
Umongea kweli hapa
 
Umongea kweli hapa
Asante kwa support yako ya nguvu mkuu vijana wengi sasahivi bado hawajaiona mitandao kama fursa ya kujikwamua kiuchumi ijapokua hakuna kitu kirahisi lakini kama utapenda unachokifanya ukajituma muda mrefu ukaweka malengo na nia kwa uvumilivu hakika utafungua pazia nyingine ya mafanikio kimaisha...
 
Ila kama huna passion na haya mambo ni heri uendelee na shughuli zingine tu usipoteze muda bure kufata mkumbo au ili kuonekana na wewe ni mtaalamu wa TECH..
Passion ninayo ndugu .
It was my dream kusoma IT ila sasa siunajua tena mambo ya kuchaguliana kozi ndugu niko napambana na nilichochaguliwa ila sina raha kama ningekuwa huko.
 
Back
Top Bottom