Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,550
- 1,422
Poleni ndugu zangu kwa machungu ya tozo na Kalyanda
Naomba niingie kwenye mada husika kama nilvoandika hapo juu.
Natamani kununua kisimbuzi cha antena cha Azam hii ni baada ya kukosa pesa ya kununua kisimbuzi cha dish kutokana na pesa yangu kuwa ndogo.
Kwa mtumiaji yeyote mzoefu wa visimbuzi hivi naomba anipe changamoto au utaratibu wa hivi visimbuzi maana nina kosa uhondo wa ligi kuu na mambo mengine ninayo yakosa DSTV
Naomba niingie kwenye mada husika kama nilvoandika hapo juu.
Natamani kununua kisimbuzi cha antena cha Azam hii ni baada ya kukosa pesa ya kununua kisimbuzi cha dish kutokana na pesa yangu kuwa ndogo.
Kwa mtumiaji yeyote mzoefu wa visimbuzi hivi naomba anipe changamoto au utaratibu wa hivi visimbuzi maana nina kosa uhondo wa ligi kuu na mambo mengine ninayo yakosa DSTV