Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

𝗨𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮 𝘂𝗺𝘂𝗵𝗶𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗘𝗺𝗮𝗶𝗹 𝗿𝗲𝗰𝗼𝘃𝗲𝗿𝘆 !! Unajua gmail imetengenezwa na Google, pia ni moja wapo ya platforms inayotumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, kwani watu huweza kuchati , kutuma emails...
4 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari za muda huu wana JF natumai mnaendelea vizuri kama kuna mgonjwa ugua pole, moja kwa moja niende kwenye mada yangu naombeni msaada wenu akaunti yangu ya Facebook imefungiwa bila sababu siku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naombeni msaada jamani kwa wale wataalamu wa IT, msaada wa kuhack gmail au facebook password/account naombeni kwani ninahitaji sana account yangu ina matatizo imehackiwa
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini za majukumu wakubwa bila kupoteza muda naomba kufahamishwa jambo hili:- Ninaweza kujifunza ( kufundishwa na mtu) kupiga codi za electronics device bila kwenda chuo? Nina elimu ya kidato...
1 Reactions
9 Replies
725 Views
Wanaoijua hii simu nahitaji msaada wenu, Je, ni simu nzuri? nimeifuatilia mtandaoni inaonekana nzuri ila nahitaji wazoefu ambao wamewahi kuitumia kabla sijajilipua kuinunua.
3 Reactions
90 Replies
9K Views
Habari zenu wana jamii Naomba msaada tafadhali, simu yangu kila meseji ninayoituma hata ikiwa nataka kufowadi namba au meseji ndefu na fupi ina convert to MMS, nimehangaika nimeshindwa nimekuja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau wataalamu wa Electronics naomba Msaada wenu. Hapa nina Tv ya LG smart inch 43, binafsi sikuwahii kujua kama haina 3.5mm Jack bali ina DIGITAL AUDIO OPTICAL sasa nimenunua HI-FI ya JVC MX...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu mwenye kujua ubora wa tv hizi msaada
0 Reactions
2 Replies
769 Views
Kama unatumia Samsung siku ukishika simu nyingine za Android unatamani urudi Samsung mapema sana. Nimetumia Oxygen OS ya One Plus, Color OS ya Oppo, MIUI ya Xiaomi na nyinginezo lakini hakuna...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama kichwa cha kilivyojieleza Kwa Wale wenye budget ndogo na tunahitaji simu nzuri zenye camera nzuri [emoji2956] kwenye around 340-400 basi unaweza opoa hii chombo Xiaomi redmi 10c GB 64-128...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini za muda huu,nahitaji gevey card kwa ajili ya i phone 7+ yenye carrier lock,aliyenayo tuwasiliane au anaejua sehemu ninapoweza kupata tuwasiliane. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wataalam msaada wenu tafadhali, nmekuwa nkidownload audio files kwa videoder zinakuwa zinapotea sizipati kwenye storage japo znadownlodika vizuri tu. Simu Samsung A50.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwezi huu nataka nijipe kalikizo kidogo baada ya kuchoshwa na kazi ngumu za useremala kwa miezi 11 iliyopita, Ni muda wa kuchill atleast Najua wengi mtakimbilia kuniambia nishushe series kwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni baada ya akaunti husika kudai Generate Code, kitu ambacho kinanipa wakati mgumu. Pia napewa option nyingi ili niweze kuingia kwenye akaunti ya Facebook kisha niwe na access ya page yangu. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
813 Views
Naombeni msaada wakuu site yangu imefungiwa facebook nawezaje ku fix tatizo hili ili facebook niwe nashare link kwenye page yangu na kwenye ma group?
0 Reactions
2 Replies
711 Views
Hawa jamaa wa Starlink wanasema mwakani wanaingia Tanzania. Gharama zao zipo namna. Kununua ungo na router na cables ni dola 500 hadi 600. Kama wastani wa 1.3 za kitanzania. Lakini lengo ni...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu salama? Miezi 3 nyuma nimebadilisha simu na kununua simu mpya ya Samsung S9+. Kawaida magrupu yangu yote huwa na yawake katika silent mode 'mute'. Ili kuepusha kusumbuliwa na muito wa...
0 Reactions
2 Replies
523 Views
Naomba kujua kuna utofauti upi kati ya kisimbuzi cha azam kile cha antena na kile cha dish?
2 Reactions
10 Replies
14K Views
Back
Top Bottom