Wakuu kama kichwa cha uzi kinavyojieleza hapo juu.
Hivi ni kweli kuna application inayoitwa "Psiphon Pro" na huwa inatumika kupata Free Browser Internet?
Nasubiri maoni yenu.
Habari zenu wakuu? Kuna hii tabia mtu anaazima simu yako hafu anaingia mtandaoni kuperuzi Mambo yake iwe kubet au kuingia YouTube na kutumia MB zako, Mimi kwangu imekuwa kero naomba msaada nitumie...
Mimi si mwenyeji wa iPhone lakini imenitokea kuna baadhi ya emoji sizioni, kuuliza nimeambiwa nifanye update.
Nachotaka kujua,
Process ya updating inatumia GB ngapi?
Naweza tumia simu nyingine...
Kamouni inayomilikiwa na Tajiri namba 1 duniani Elon Musk, Neuralink Corp. imesema ndani ya miezi 6 itaanza majaribio teknolojia yake ya kupandikiza 'Neva za Ubongo' kwa binadamu.
Neuralink...
Amani kwenu waungwana,
Aisee nilipoteza simu ikiwa na laini ambayo nilikuwa nimeunganisha kwenye e-mail address yangu kwa ajili ya verification. Kwa bahati mbaya wakati najaribu ku-renew ile...
Wana jamvii salaam!
Moja kwa moja niende kwenye mada, hapa ni TV ambayo ilianguka, ikapasuka kioo cha juu na display pia(kioo cha ndani) sasa je kuna uwezekano wa kupata spare zake kama ilivyo...
Habari na Heri ya Mwaka Mpya 2021!
Nimeamua kila nipatapo wasaa kujaribu kusaidia kuelimisha na kushirikisha mawazo wadau mbalimbali juu ya Teknolojia na Biashara, hasa Teknolojia ya Habari na...
Habari wanajf. Moja kwa.moja kwenye mada,
Mimi naomba kujua njia ambazo zinatumika.kudukua mawasiliano ya simu za.mkononi, kwa mfano kwenye social media kama whatsapp. Nimejikuta mtu ana habari...
Mwenye kunielewesha basi usisite
Nimepata tv inauzwa na jamaa yangu hapa jirani rakn kwangu bado umeme sijavuta na tv nmeipenda
Nmewaza nije niombe ushauri kuhusu kutumia kwa betri kama...
Habari ndugu zangu,
Naomba msaada na ushauri kuhusiana na hii freezer yangu.
Nilinunua mpya dukani hapo Katoro kwenye maduka ya vifaa vya umeme ni kampuni ya Hisense ina ujazo lita 100...
Watu wengi mnatumia kivinjari Cha 𝗖𝗵𝗿𝗼𝗺𝗲, 𝗠𝗼𝘇𝗶𝗹𝗹𝗮, 𝗦𝗮𝗳𝗮𝗿𝗶 kufanya mambo mengi Kwenye simu au kompyuta zetu ila achana nazo kuanzia Sasa !!!! 🤔
Ni wakati wa kuzipiga chini sasa 😀 Yani bila...
The way you drive and the condition of your car has an impact on the amount of fuel you use. Here are a few tips to help you save fuel and money.
1. Minimise your vehicle use
Vehicles are least...
Asalaam aleykum!
Wakuu kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Mnamo mwezi wa tatu mwaka huu 2021 baada ya kutafakari na kujiuliza mambo mengi kuhusu akili yangu na kugundua kwamba...
Wakuu hamjambo?
Mimi nilikuwa na kaswali kadogo tu je kwa wale mliowahi kutumia simu za mfumo wa Non-Removable battery zinapochoka bater huwa zinabadilishwaje?
Changamoto zake zikoje maana simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.