Fahamu sifa ya Infinix NOTE 12 VIP
Kampuni ya Infinix imetoa toleo jipya la simu kwa mara ya kwanza yenye watts 120 !! tarehe 16 may 2022 , kampuni ya Infinix ilizindua matoleo matatu ya mfululizo...
Habari wakuu, nina samsung A02 kwasasa ina mwaka 1 na miezi 4 toka niinunue dukan, na ilikuwa na warrant ya miaka 2 ila warrant card nimeipoteza
Sasa hii simu hivi sasa ni week kila nikiitumia...
Wakuu kwema?
Kwavile fiber bado ni changamoto maeneo ya Makongo Juu naomba ushauri wenu kuhusu kampuni bora ya unlimited home Internet.
Matumizi yangu ni:
Home office (working from home) nina...
Waandishi wa Habari wa #NewYorkTimes, #CNN na #WashingtonPost ni kati ya waliofungiwa akaunti zao na mtandao huo kwa madai ya kuonesha #TaarifaBinafsi za watumiaji ikiwemo Anwani za Makazi...
Ni muda Sana nimecheza Hilo game nakumbuka ilikuwa ps 2 hiv kwenye simu naweza pata offline mode hata kama ni cranked lakin sio kwenye mfumo ISO zile game za psp simulation
Wajuzi wa hizi mambo...
Kampuni hiyo inayomiliki mtandao wa Facebook wanadaiwa kuwa majukwaa yao yalichangia kuongeza chuki na vurugu wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Abrham Meareg, mtoto wa mwanazuoni aliyeuawa...
Januari 9, 2007 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Apple, Steve Jobs alitangaza kuzinduliwa kwa simu ya iPhone, simu iliyokuwa na iPod, kamera na uwezo wa kutumia intaneti, kati ya vingine vingi. Tangu...
Wakongwe habari zenu natumaini mko salama kabisa, na jumapili yenu inakwenda vizuri
Mimi swali langu ni hili ninataka kufungua kampuni ya ICT ijikite kwenye Software Development, ila sasa kama...
Wadau msaada unahitajika, kuna web fulani nikiingia inakuja msg yenye ujumbe unaosema you have not unlocked your ad blocker, you will be disconnected in 5 seconds. Naambatanisha picha. Jee...
Kampuni ya Microsoft imetangaza leo mipango ya kuleta huduma za intaneti kupitia satelaiti kwa watu milioni 10, nusu yao wakiwa barani Afrika, kama sehemu ya juhudi za kuziba pengo la kidijitali...
Wadau nauliza hivi, nahitaji kuwa natuma sms za matukio ya Kanisa kwa washiriki kama 500 hivi je hii kitu ina gharama zingine tofauti na kifurushi changu cha sms?
Lakini pia nataka nikituma sms...
Wakuu mambo vipi nina shida kidogo na mtu ambaye yupo vizuri kwenye maswala ya cyber security na pia ana uzoefu kidogo nataka tulizungmzie anisaidie kiasi.
Kama kichwa cha chapisho kinavyojieleza nina samsung a12 nimevuruga patten nahitaji kui hardreset but inakataa kila nikijaribu naombeni msaada hata wa program kama ipo
Teknolojia kila siku inazidi kuwa kubwa kwenye nyanja mbalimbali.
mifumo ya virusi katika kompyuta ilitegemea sana kuathili sehemu inapotunzia OS na hard disk sababu ndizo zilibeba vitu vingi vya...
Hatimaye Umoja wa nchi za ulaya (EU) umeafikiana makubaliano ya kutumia Usb chaji aina moja kupitia simu zote zitakazotengenezwa mwaka 2024. Mpango huu unahusu vifaa vyote vya kieletroniki kuanzia...
Jamaniiiii eh
Nina plan ya kuanzisha usafiri mtandaoni ambapo kutakuwa na App ambayo mteja ataingia na kuchagua au kupata dereva.
Mfano kama wanavyo fanya ping
Utaratibu huwa upoje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.