Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jaman wa jf ni program gan nzur kwa kutengenezea videos?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman wana jf naombeni keys za window vista
0 Reactions
3 Replies
954 Views
Naomba msaada; modem ya voda inakataa kwa laptop yangu hadi nimelazimika kununua ya airtel, natumia windows 7, je hiyo inawea kuwa sababu? Nifanyeje wakuu?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hey guyz can u teach me how to change nokia 5800 firmware to a nokia c6 firmware
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima wakuu, Tangu jana usiku nimehangaika sana kutumia JF kwenye simu yangu, Nimepost thread ya kwanza then baada ya kutoka kwenye Internet nilipotaka kurudi tena sehemu ya home page hakukuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wanaJF naombeni msaada wenu kwa anayefahamu wapi zinapatikana dish za ku-band za ukubwa wa cm 120 na gharama yake ni kati ya sh ngapi maana nilizunguka maduka yote mwanza lakini sikufanikiwa!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu jamani natumai hamjambo! Pleasee nisaidieni jinsi ya kufanya istallation ya window server 2003 na pia nataka kujua kama inawezekana kuistall window server 2003 kwenye machinw yenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana nahitaji msaada ku-unlock modem yangu details zake ni E1588 IMEI 3595920357481961Natanguliza shukrani nyingi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana Jf, naombeni mawazo kidogo kuhusu yaliyonikuta, nimekutana na kimeo leo kimenitoa jasho, Window 7 home premium nimeistall Avast free antivirus 6.0.1000.0 inakataa kuregister ukiclick...
0 Reactions
1 Replies
850 Views
Naomba msaada wanajamvi. Nina laptop yangu inatumia Windows 7. Inanipa warning kuwa Windows Security Centre will not start. Nimejaribu ku configure na kujaribu i start tena automatically lakini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ESET NOD32 ANTIVIRUS BUSINESS EDITION Mwenye serial key au patch tafadhali. Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jaman nilikuwa naomba msaaada wa software ya ku unlock memory card !! maana nina nokia yangu e71 ambayo nime i update xema kumbe memory yake ilikuwa na key xo now inashindwa kusoma !! msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani naomba kujulishwa maneno yafuatayo Operamini for Symbian na Operamini mobile for Symbian maana nataka kudownloud kati ya hizo ,maana ipo yenye 6,11,4.3,5.1 sasa nashindwa hata kuchagua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
i have a new laptop but nimekuta MS office ya 2010 i dont have its activation keys and it demands for them i need some help plzzzzz:angry:
0 Reactions
3 Replies
9K Views
salamu wana JF,naomba msaada wa serial keys za pinacle studio 9.
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari wa JF! Nimenunua bundle vodacom then kabla sijaitumia inaniambia kitu kama hiki;`Your Ad-hoc Data Bundle Service Type has been migrated to MyMeg 50 Bolt-on Prepaid Data Bundle.` Na hapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nawatu wa tenolojia Hii site http://teknohama.x10.mx/ imekaaaje ? ina tatizo gani ?nirekebishe kitu gani Dhumuni niku tengenza blog yenye ladha ya kiwebsite. yaani nusu blog nusu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hello, Nitaweza kupata free download na kuinstall antivirus software ktk simu yangu NOKIA 2700 CLASSIC? Naomba msaada Wajameni!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hodi jamvini wana JF, naomba mnijulishe iwapo naweza kutumia tv card kwa laptop yangu na kwa namna gani, nahitaji program gani kwa computer? Iwapo its possible, naweza ipata wapi kwa bei poa but...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Is there any1 ambaye anajua how 2hack dstv decoda ili chanelz ziwezinashka free?
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom