habari zenu bana niaje wadau wa jf...naomba msaada wenu wadau nina ipod ya 1Gb kila nikiweka nyimbo inaktaa afu imeblock nikirestore inakuwa poa ila nikiweka 2 nyimb aimalizi ku syclonise...
Nimeibamba hii habari mtandaoni leo, kwa wenye habari mutanisamehe kwa kurudia.Hatua njema anwani yake ni http://www.tbc.go.tz
For ICT news,lessons,knowledge... Tembelea ICT KIjiji
nina tv yangu aina ya
Ferguson F2620LVD 26in LCD TV
lakin kila niki play video kwenye ile screen naoan picture motion ina chelewa ku respond yaani sauti ina sikika fresh xema motion ya picture...
Computer yangu imekwama katika internet lakini nilipocheki kwenye ethernet controller inaonesha haifanyi kazi.
nikijaribu ku update kwa kutafuta ethenet co nyingine kwa kupitia computer...
Natumia TTCLBB, Modem Smartax MT880, winxp, win7 pcs on wired LAN. A couple of laptops connecting using CISCO Linksys WRT1220N. Nina matatizo mawili
Im forced to rely on a single pc, since...
Wana jamiiforums;
Nilijaribu u-download tv4africaplayer kwa ajili ya kuangalia ITV. lakini la ajabu ni kwamba nimeweza ona siku moja tu, baada ya hapo hakuna response niki-click link. Watalaam...
Habari zenu wakuu, samahani waheshimiwa kama hili nalotaka kuuliza lilishajadiliwa hapa. Naomba mnisaidie kama kuna madhara yoyote ya kuficha ip address, na kama hakuna ni software au njia gani...
Nimeamua kuuliza hili swali baada ya kuwa njia panda kwa muda mrefu. Wengine husema wakati mvua inanyesha hasa ya radi simu inatakiwa ifungwe maana ni hatari. Wengine husema haina tatizo. Naomba...
Heshima kwanza kwa wanaJF wote. Jamani nawezaje kupata proglam ya kuzuia baadhi ya watu ninaotaka kutonipigia simu. Aina ya simu yangu ni Nokia 5130 express music
wadau habarini? naomba msaada wa hapa nilipo nauziwa black berry cave 8520 but nahisi kama vile inamatatizo maana najaribu kuitafuta kwa bluetooth katika simu yangu ya nokia siipati but...
habari zenu wadau mi na shida na muonekano mwanzo ilikuwa inadisplay englsh lang lakn sas hv inadisplay kirusi flan sasa sielewi. Je nifanyeje irudi kenye hal yake ya mwanzo. ...
Plz msaada kwnye...
Wakuu wanajamvi naomba msaada wenu, nataka kujiweka fit na program ya SPSS, jaman mweye software and study guide(soft copy) anisadie
Natanguliza shukurani
Habarini za Kazi wakuu, Jamani mie Natumia Modem ya Zantel yenye Kifurushi cha Z - MONO ambacho Natakiwa kuweka elf Kumi kila Mwezi, Na matumizi yangu makubwa ni Facebook, Hotmail, Badoo na...
Wadau, natumia Decoder ya Easy Television,huwa nakilipia kila mwezi,chakushangaza kwenye hiki king`amuzi kina ch:32 lakini ninauwezo wa kutazama Ch: 18 tu na nyingine zinanidai Pin code ...
NIMEBADILISHA OPERATING SYSTEM KWENYE LAPTOP YANGU AINA YA ( iNSPIRO 1525) DELL, DRIVER ZA SAUTI ZIMETOKA,PAMOJA NA VGA COMPATIBLE NAOMBENI MSAADA MWENYE NAZO ANITUMIE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.