Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Bofya link kwa kudownload CISCO IOS images Cisco IOS 12.4 CISCO IO PACKAGING CODES mfano 1: c3725-ipbasek9-mz.124-25b.bin C3725 : Platform Ipbase : Feature Set K9: Crypto Incl...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Fellow Members, Three days ago I was being pestered with SMS from Voda saying that my number was choosen for the 3mil draw and that I had to text my name.Charge 550/=! I decided to send the...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna watu wanapita kwenye taasisi kutoa elimu kuhusu matumizi ya simu na madhara ya kansa. Jamani kuna mwenye ujuzi na hili, je kuna watu wanafahamu hi move? Jamaa wameacha na za sim Victo Lema...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Naombeni msaada wakuu. Nimeibiwa simu yangu aina ya SAMSUNG GT B3410. Nina risiti yake na warranty. Je, kuna uwezekano wa kui-track iwapo hewani? Thanks.
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Mambo vipi wakubwa naomba mwenye ip address ya tigo asanteni
0 Reactions
0 Replies
961 Views
Wapendwa ntaweje kulock modem ya voda isitumike kwenye computer nyingine?tafadhali nisaidieni kama **** huo uwezekano.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wataalam,mimi natumia laptop dell latitude d600,laptop yangu hii usb port zake zote hazifanyi kazi,inashindwa kudetect usb device.Tatizo lilianza pale nimlipo connect motorola l6 kwenye port...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau naombeni mwenye key za norton 2011!
0 Reactions
1 Replies
998 Views
Hp Probook 4510s with windows 7 i have tried every way can think of & i can not find he webcam. YES it does have a webcam but i cant find a way to access it. Please help
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Some1 with ICT skills ... we want to battle for the system to enhancing teaching using interactivity multimedia .Come and join the group
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Thank yuuuuuuuuuu
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Kila nikichomeka moderm zangu kwenye Window 7 os nakutana na kitu kama hiki nataka kuki stop completely Nifanyeje?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nimenunu moderm ya tigo, napata 3G signals, lakini nashanga kwa nini uploading & downloading speed sio nzuri? yani speed huwa inavary 80kbps-378kbps. Please help me, its urgence!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tokea jana providers wanaotumia seacom hasa hasa internet ya Airtel wako chali, almost hamna kitu, leo wamenitumia meseji kuwa link imesharekebishwa, lakini so far bado hakuna kitu. Mlio karibu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni muda sasa naamini hapa Jukwaani ni kisima na msaada tosha kwa mambo mbalimbali. Wadau, nilinunua redio ya SONY model no. HCD-GNZ55D miaka 2 iliyopita. Redio hi imepata tatizo la power. Umeme...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wataalam wa photoshop. Kuna image nataka nizichakachue ili header ya webpage nayotengeza iwe tofauti Image yenyewe nayotaka kuchakachua ni hii hapa Hii ni image ya header kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA Dakika za bure;message 100 na MB200 kuangalia dk bonyeza *102*05# ok; kuangalia message bonyeza *102*15#; kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok. Offer...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Salama wakuu? Tatizo lang ni moja tu,nahitaji kuinstall softwares za windows kwenye linux. Nilishauriwa nitumie ki2 inaitwa crossover au wine lakn naona hazikubali.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada kama kuna namna nyingine ya kui play you tube mara ninapoifungua huwa inaplay kidogo kisha inaonekana ikiendelea kuserch kuja ikaplay bila kusitasita ni hadi ifike mwisho sasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninatafuta graphic designer wa kujitegemea ambaye anaweza ku design signage, brochures(A4), posters (A2), Fliers (A5), na T-shirt. Nitumie ujumbe kuhusu gharama zako.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom