Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Let us discuss about this at: Tanzania Cartoons Studio - JamiiForums | The Home of Great Thinkers
0 Reactions
0 Replies
4K Views
jinsi ya kuweka program kwenye cd mpaka ikawa installed kwenye computer za watu wengine. Namaanisha kama nimeandika kwenye text pad na nika compile na nika run, lakini hii program yangu nataka...
0 Reactions
2 Replies
992 Views
Hello JF once again, Napenda kuchukua fursa hii ya ukweli na uwazi, kuwakribisha wana JF katika kutia nguvu kazi katika Project yangu iliopo katika tovuti ya hapo chini---unataweza kufaidika vipi...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
WanaJF wote mambo vp? Naombeni kuuliza kwa wanaofahamu tatizo liko wapi? Natumia simu ya nokia E61i napata hizo channel live ila tatizo wakati wa mchana zinakwamakwama sana ila usiku kuanzia saa 6...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau, Habari yenu wote?! Natumai J2 yenu inaisha vema? Embu nisaidieni, nimenunua Multifunctional Printer (MFP) ya HP, 2050series lakini inasumbua kwenye ku-scan. Inaniletea msg hii hapa "Scanner...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar watalamu?Nina digital camera pamoja na pc.Nahitaji kuanza kupiga pasport na kusafisha,ili nipate fedha.JE NAHITAJI VIFAA GANI ZAIDI?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau, jana niliweka simu mezani: kijana wangu mdogo akaichukua na kuanza kuichezea, nlivokuja kustka imelock line (Vodacom) inaomba PUK!!! Bahati mbaya kabisa nilishapoteza (Hii line ni ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
pls anayejua kudesign simple amplifier pls naomba msaada wake anielekeze
0 Reactions
2 Replies
1K Views
na2mia nokia e51 nilimpa m2 cmu yng ai2mie kwa wiki bt imerud ina lock code nided!nimetafuta master code generat software bt inagoma kugenerate mastercode za bb5 phone! Any1 2save me 4dis pls?
0 Reactions
0 Replies
855 Views
1.TUMA NENO SUB KWENDA NAMBA 15524,utapata maelekezo ya kuchagua lugha nawe utachagua 2.bonyeza **62*+255784101125# Mpaka hapo utakua umeshajiunga na huduma hiyo ambapo utakapopigiwa simu...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Tazama sasa hivi ni saa 12.58 jioni kama unaniona nimevaa vipi,nasema nini ikifanikiwa hii ,tunaachana na mambo ya kutegemea TV za kibongo kama leo tulivyokosa matukio muhimu Tabora,Uganda,Dar...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani, kwanini tunakua nyuma kiteknolojia kiasi hichi Watanzania?..Kutwaa mabegi na vibahasha eti tunasoma IT !!!...Ebu waliosoma waungane angalau na sisi tuambiwe tumetengeneza Software...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu nisaidieni kunijuza, natumia USB Stick ya HUAWEI ya Zain (airtel) na nina line 2 (sim-card) niliyoanza nayo ilikuwa modem inawaka rangi ya bluu 3G sasa hivi imepotea natumia ingine imewaka...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wana Jamvi, nahitaji msaada wa kutazama Television za bongo live kwa free. Links please!!!!:help:
1 Reactions
6 Replies
4K Views
salam wakuu,nina external hardisk yangu ambayo nimestore ma files yangu sasa shida inakuja sometimes mafaili yanaonekana kama shortcuts yaan mpaka uende kwenye ubuntu,uyaduplicate kwa kutengeneza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii huduma inapatikana wapi hapa dar? Utaratibu wa kuungiwa nao unakuwaje? Nadhani pia ni bora kuliko ving'amuzi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna mtu amewahi nunua CDs toka kwa hawa jamaa? http://www.vtc.com Mimi nahitaji lakini malipo yanataka visa card,nami nilipo ni kijijini, siwezipata visa card Naomba msaada wenu kwa wenye udhoefu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina Iphone 3G imepasuka kioo. Wapi ninaweza kukitengeneza au kukibadilisha Jijini Dar?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habar zenu wanathnker jana niliipiga chn window xp s2 nikaiweka nyngne mara baada ya kuona machne imekuwa nzito na kunabaadh ya mafile ya window kuwa yameliwa na virus na pia partishe niliyokuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF wote mambo vp?. Naombeni kuuliza kama simu yangu inao uwezo wa kuangalia tv live kama aljeezra simu ninayotumia ni nokia E61i
0 Reactions
7 Replies
14K Views
Back
Top Bottom