jinsi ya kuweka program kwenye cd mpaka ikawa installed kwenye computer za watu wengine. Namaanisha kama nimeandika kwenye text pad na nika compile na nika run, lakini hii program yangu nataka...
Hello JF once again,
Napenda kuchukua fursa hii ya ukweli na uwazi, kuwakribisha wana JF katika kutia nguvu kazi katika Project yangu iliopo katika tovuti ya hapo chini---unataweza kufaidika vipi...
WanaJF wote mambo vp? Naombeni kuuliza kwa wanaofahamu tatizo liko wapi? Natumia simu ya nokia E61i napata hizo channel live ila tatizo wakati wa mchana zinakwamakwama sana ila usiku kuanzia saa 6...
Wadau, jana niliweka simu mezani: kijana wangu mdogo akaichukua na kuanza kuichezea, nlivokuja kustka imelock line (Vodacom) inaomba PUK!!! Bahati mbaya kabisa nilishapoteza (Hii line ni ya...
na2mia nokia e51 nilimpa m2 cmu yng ai2mie kwa wiki bt imerud ina lock code nided!nimetafuta master code generat software bt inagoma kugenerate mastercode za bb5 phone!
Any1 2save me 4dis pls?
1.TUMA NENO SUB KWENDA NAMBA 15524,utapata maelekezo ya kuchagua lugha nawe utachagua
2.bonyeza **62*+255784101125#
Mpaka hapo utakua umeshajiunga na huduma hiyo ambapo utakapopigiwa simu...
Tazama sasa hivi ni saa 12.58 jioni
kama unaniona nimevaa vipi,nasema nini
ikifanikiwa hii ,tunaachana na mambo ya kutegemea TV za kibongo kama leo tulivyokosa matukio muhimu Tabora,Uganda,Dar...
Jamani, kwanini tunakua nyuma kiteknolojia kiasi hichi Watanzania?..Kutwaa mabegi na vibahasha eti tunasoma IT !!!...Ebu waliosoma waungane angalau na sisi tuambiwe tumetengeneza Software...
Wakuu nisaidieni kunijuza, natumia USB Stick ya HUAWEI ya Zain (airtel) na nina line 2 (sim-card) niliyoanza nayo ilikuwa modem inawaka rangi ya bluu 3G sasa hivi imepotea natumia ingine imewaka...
salam wakuu,nina external hardisk yangu ambayo nimestore ma files yangu sasa shida inakuja sometimes mafaili yanaonekana kama shortcuts yaan mpaka uende kwenye ubuntu,uyaduplicate kwa kutengeneza...
Kuna mtu amewahi nunua CDs toka kwa hawa jamaa?
http://www.vtc.com
Mimi nahitaji lakini malipo yanataka visa card,nami nilipo ni kijijini, siwezipata visa card
Naomba msaada wenu kwa wenye udhoefu...
Habar zenu wanathnker jana niliipiga chn window xp s2 nikaiweka nyngne mara baada ya kuona machne imekuwa nzito na kunabaadh ya mafile ya window kuwa yameliwa na virus na pia partishe niliyokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.