Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nahitaji auto cad kwa computer yangu, naomba msaada wa kuipata wakuu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu, hii kitu sijaisajili,na muda a majaribio kwishnei; tafadhali naomba key za kuniwezesha kusajili hii kitu ili niweze kuendeleea na kazi! MS OFFICE 2007! Shukrani mbele.
0 Reactions
1 Replies
234 Views
Kwa anayejua trend nzma ya cisco ansaidie. Kwanza nahtaj kujua gharama ya pepa zao, pili ni lazma kuwa na review center .? Tatu mitihan yao huwa inafanyika kpnd gan cha mwaka, na mwisho ni kituo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi nipo Kondoa natumia moderm ya zain (USB stick) hatupati mtandao wa internet kama miji mingine. ninapokwenda Dodoma au Arusha napata 3G rangi ya bluu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
je kuna uwezekano wa kuongeza speed ya internet kwakutumia simu km modem?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wadau wa blogs watakaopenda kubadili blogger favicon zao tafadhali Gonga hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Tafadhari mwenye maarifa ya kutosha juu ya uchakachuaje wa modem ya Voda aina ya K3565 -Z, nimejaribu kuchakachua lakini kuna sehemu imenishinda, nilifanikiwa kuweka dashboard ya JOIN AIR na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimeshamaliza kuandika progam yangu, ila nataka niiweke kwenye cd ili watu wengine waweze kuinstall, nifenyeje? from the start to stop, please give the algolithim of that problem, thanks for your...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo vp wakuu? naomba msaada wenu computer yangu haitunzi screen saver wala wallpaper kulikoni? nifanjeje, inawezekana ni coz of WINDOWS 7? please, help me.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
naitaji ushauri wana JF,naitaji genuine antivirus that can save 100 users with minimum price na je hizi kaspesky au norton zinazouzwa elfu 35,000 for single user na 60 kwa 3 users ni za kweli...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tayari nina executable codes but i what to change them into setup, what can i do guys?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sina hakika kama hapa ni mahala sahihi kwa hii post yangu, lakini issue ni kwamba hivi karibuni nilihisi kupungukiwa pesa kwenye simu yangu, nikashangaa shangaa nikaacha kama ilivyo. Sasa leo...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Wakuu naomba kujua kama hizo modem za tiGO zina chakachulika ili ni wanunulie vijana wangu wajimwage na Airtel, wamezishusha bei hadi TSH 30,000. jinsi ya kuchakachua. Wakuu, Kwenye...
0 Reactions
116 Replies
15K Views
Run It As Admin The rest will do by It self! Vista7 Slic Ldr.exe Enjoy!:violin:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hv mtu akiwaa na diploma ya computer science eng kima cha chini ni sh ngap'na akiwa na diploma ya it kima cha chini sh ngapi'
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dear members we have accomplished 90% of construction of Transport sector database. I am inviting you to visit www.transportinfo.go.tz. It is a database where you can access information in form of...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wataalam wa program. katika kuendelea kujifunza kwa vitendo mambo mbali mbali ninataka kupata ushauri wa kitaalam, au source ya article nzuri au hata souce ya Video training zitazotuwezesha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba Msaada wa code za IDM 605 kwa mtu mwenye nazo,NIlikua natumia trial version lakini muda wake umeisha na nimeipenda sana hii Software,Natanguliza shukrani kwenu wana Jf...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
The following are the specs for my Power book G4 15' Mac OS X Version 10.3.9 Processor 1.5 PowerPc G4 Memory 1GB DDR SDRAM Apart from that it has the following accessories: 2...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nafanya final year project katika ICT hapa mlimani sasa kuna program ya macromedia flash professional 8 nimeipata ila nashindwa kuitumia. Nataka kutengeneza multimedia content for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom