Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,183
- 261
Kuna watu wanapita kwenye taasisi kutoa elimu kuhusu matumizi ya simu na madhara ya kansa. Jamani kuna mwenye ujuzi na hili, je kuna watu wanafahamu hi move? Jamaa wameacha na za sim Victo Lema 0756 459359. Sasa na huyu naye anasimu. Jujuzane tafadhali. Nawasilishisha