Jamani vipi kuhusu matumizi ya simu na kansa za ubongo

Jamani vipi kuhusu matumizi ya simu na kansa za ubongo

Kiresua

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2009
Posts
1,183
Reaction score
261
Kuna watu wanapita kwenye taasisi kutoa elimu kuhusu matumizi ya simu na madhara ya kansa. Jamani kuna mwenye ujuzi na hili, je kuna watu wanafahamu hi move? Jamaa wameacha na za sim Victo Lema 0756 459359. Sasa na huyu naye anasimu. Jujuzane tafadhali. Nawasilishisha
 
Kuna watu wanapita kwenye taasisi kutoa elimu kuhusu matumizi ya simu na madhara ya kansa. Jamani kuna mwenye ujuzi na hili, je kuna watu wanafahamu hi move? Jamaa wameacha na za sim Victo Lema 0756 459359. Sasa na huyu naye anasimu. Jujuzane tafadhali. Nawasilishisha

Kila kizuri kina ubaya wake kinapozidi kiwango!!!
so not bad if we see the effects
 
Kwa ujumla utafiti wa sayansi unaonyesha hakuna uhusiano kati ya matumizi ya simu na cancer au madhara yoyote ya kiafya.

A large body of research exists, both epidemiological and experimental, in non-human animals and in humans, of which the majority shows no definite causative relationship between exposure to mobile phones and harmful biological effects in humans.
Mobile phone radiation and health - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Wanataka nini??

supai siye! Wanattoa elimu ju ya matumizi ya simu, na jinsi zilivyo na madhara kiafaya, hasa kusbsh kansa. Naambiwa wanarefe pia tafiti mbalimbali za who. Najua sim zina madhara ila si kwa exageration wanazoelezea
 
Kuna watu wanapita kwenye taasisi kutoa elimu kuhusu matumizi ya simu na madhara ya kansa. Jamani kuna mwenye ujuzi na hili, je kuna watu wanafahamu hi move? Jamaa wameacha na za sim Victo Lema 0756 459359. Sasa na huyu naye anasimu. Jujuzane tafadhali. Nawasilishisha

Lakini hizi hizo simu bado na wenyewe wanazitumia :disapointed::disapointed:
 
yap, cm znaweza cause cancer. Hii inakuja tokana na electromagnetic waves(emw) inayoemit. Hizi emw zinatabia ya kugenerate heat inapopita ktk matter iliyo na thickness kubwa kuliko wavelength yake. Ndo maana unaweza ona mtu anapata joto masikioni anapoongea na cm kwa muda mrefu. Ni hii princpo inatumika ktk microwave ovens, Na pia ni hili joto ndo linalopelekea kansa kwani linaweza disturb ukuaji wa cells za mwili. Bt ol in ol inatake long time kwa kansa kutokea na pengine unaweza usiione mpaka unakufa.
 
Ni kweli kabisa mawimbi (EMW ) ya simu zinaweza kuleta matatizo ya kansa, hii ni kwasababu antenna ya simu ya mkononi huwa ina vuta mawimbi kwa nguvu nyingi sana. Tofauti na vifaa vingine vinavyopokea na kutoa mawimbi, simu ya mkononi inakua karibu sana na mwili (ubongo), kwahiyo inaweza kuleta madhara kwenye mfumo wa ufahamu na mifumo mingine. Inashauriwa kuiweka simu mbali na mwili wako pale ambapo huitumii, kuna watu wanatabia ya kulala na simu zao pembeni, hii ni hatari kwa afya zao.
 
Ni kweli kabisa mawimbi (EMW ) ya simu zinaweza kuleta matatizo ya kansa, hii ni kwasababu antenna ya simu ya mkononi huwa ina vuta mawimbi kwa nguvu nyingi sana. Tofauti na vifaa vingine vinavyopokea na kutoa mawimbi, simu ya mkononi inakua karibu sana na mwili (ubongo), kwahiyo inaweza kuleta madhara kwenye mfumo wa ufahamu na mifumo mingine. Inashauriwa kuiweka simu mbali na mwili wako pale ambapo huitumii, kuna watu wanatabia ya kulala na simu zao pembeni, hii ni hatari kwa afya zao.

Tuwekee ushahidi wa kitaalamu MKUU.
 
Tuwekee ushahidi wa kitaalamu MKUU.

Kunakitu kinaitwa SAR (Specific Absorption Rate), hiki ni kiasi cha nishati ya radio frequency (RF) kinachoingia kwenye tishu (mwili) wa mtumiaji wa simu ya mkononi.

katika elecromagnetic specrum (EMS), mwisho kabisa kwenye band ya RF, upenyaji wa mawimbi (SAR) ni kubwa. Tatizo ni kwamba mara nyingi simu ya mkononi hutumika ndani au pale ambapo mawasiliano siyo mazuri. Sasa simu ikihisi mawasiliano mabovu hutumia nguvu (nishati) nyingi kuvuta/kukuza mawimbi na hapo ndipo kuna uwezekano wa kuchoma tishu za mwili (ambazo zipo karibu na antena ya simu) taratibu katika kipindi cha muda mrefu. kumbuka hizi RF ndizo zinazotumika kupasha joto vyakula kwenye microwave oven. Kama tishu hizi (kwenye ubongo) zitapokea mawimbi haya yenye nguvu kwa muda mrefu zinaweza kusababisha kansa.

Sijui kama nimeeleweka Globu.
 
kuna watu wanapita kwenye taasisi kutoa elimu kuhusu matumizi ya simu na madhara ya kansa. Jamani kuna mwenye ujuzi na hili, je kuna watu wanafahamu hi move? Jamaa wameacha na za sim victo lema 0756 459359. Sasa na huyu naye anasimu. Jujuzane tafadhali. Nawasilishisha

mkuu unataka kujua madhara sio?. Basi soma bonyeza hapa!!!!!!!!!!!.
 

Attachments

Back
Top Bottom